Duh! Inchi inaongoza kwa watu wake kutokuwa na Furaha, sijui Amani mnaipataje, ni somo kubwa sana hili. Palipo na amani hapakosi upendo. Tusijidanganye
Katika kipindi ambacho maprofesa na madokta hawatakisahau ktk maisha yao ni awamu hii maana heshima na hadhi zao zinashuka na kudharaulika kwa kasi. salama yao ni kusimamia kweli. No way out.
Ila hilo Andiko lake, ninalisoma na kulisoma linafikirisha sana, ebu jaribuni kulisoma huenda tukajifunza kitu, achaneni na maneno ya kebehi wandugu, ngoja nilisome tena maana halichoshi kabisa dah! Jamaa anapangilia hoja vizuri sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.