Search results

  1. M

    Ngololo

    kazi na dawa
  2. M

    Car renters

    nenda kwenye hoteli kubwa hapa dsm,pia nenda kwenye mamlaka ya uwanja wa ndege dsm, wakupe taratibu za kufanya biashara hapo.
  3. M

    Mh! yataka moyo.

    kazi ni kazi, na asiyefanya kazi na asile
  4. M

    Train Bridge

    hapa kwetu bongo hiyo ni chuma chakavu, itagombewa kama mpira wa kona
  5. M

    Jamani kama kuna dawa ya kuondoa bomba mvua wakati wa *******

    pole kwa raha unazozipata, nakushauri uende kagera (Katerero) kuna wataalamu wa hayo matatizo.
  6. M

    It speaks louder than words

    mimi napita njia tu.
  7. M

    Picha ya leo

    Safi sana, nimeipenda
  8. M

    Mkangara aingizwa mkenge 'kabang'

    waacheni wagombee kwani ni haki yao kikatiba.
  9. M

    vichwa vya habari vya magazeti yote,udaku,michezo na siasa,leo jumatano,january 9,2013

    Hongera sana, kwani sisi wengine tuko huku ughaibuni tunajifariji na habari za nuymbani.
  10. M

    Hatari: Mke amfumania mumewe akilawitiwa!

    nashauri huyo mama apatiwe ushauri nasaha kwanza ili kumrudisha katika hali ya kawaida.
  11. M

    Foleni ya kutisha Mbezi beach

    poleni sana, hamieni kwetu mbagala siku hizi ni poa tu.
  12. M

    Nimelala na mwanamke kitanda kimoja usiku kucha ..........

    Nakushauri ule tu kwani usipokula hatakuheshimu, mkirudi kazini jitahidi kumkwepa tu, mbona huku sisi twla mara moja bila ya kurudia.
  13. M

    Michezo Mingine Sio.....

    hapo ujue kuwa baadae huyo dogo atakuja kuwa mwanasiasa na baadae kuwa Waziri katika Serikali yetu.
  14. M

    Isome barua hii ya kushangaza, kuhuzunisha huenda ni ya kwako uliidondosha

    Hili liwe fundisho kwa kina dada, kwani huwa wajisahau sana wakiwa kwenye mahisiano. Wanatakiwa waangalie mbali zaidi.
  15. M

    Mama Maria Nyerere amvika nguo BWM kwa kusema hausiki na kifo cha Nyerere

    Mwacheni marehemu mwalimu Nyerere apumzike kwa amani. nashauri sasa waombe kura za wananchi huko Arumeru badala ya kumuumbua marehemu Nyerere.
  16. M

    Used laptop in good quality

    ofisi yenu iko wapi? ili nije kuangalia mwenyewe
Back
Top Bottom