MIMI SIJUI KIINGEREZA VIZURI LAKINI MNAOELEWA PITIENI HII HABARI ILIYOTOLEWA NA MWENYEKITI MWENZA HUKO TORONTO JE ZINAFANANA?
Barrick Comments on Proposed Framework for Acacia Mining plc Operations in Tanzania
PDF | All amounts expressed in U.S. dollars
TORONTO, October 19, 2017 —Barrick Gold...
Kuna jamaa yangu yuko eneo la tukio anasema poilisi wametumia mabomu ya kutoa machozi muda huu wa kati ya saa nane na tisa kutawanya umati wa watu waliokuwa wameanza kusikiliza hotuba za akina Mdee, Watu wanakooa sana sababu ya moshi wa mabomu, Ilikuwa ni Isingiro wilaya ya Kyerwa.
Hii ni mbinu nyingine ya CCM ya kutaka kibaraka wao abakizwe kwenye chama ili wazidi kumtumia. Maana wanaona akifukuzwa watakuwa wamefail mpango wao akibakizwa kwa propaganda hizi kwao ni kicheko. Dawa ni moja tu ZZk afukuzwe kama ni kweli jembe aanzishe chama chake ambapo atakiendesha kwa mfumo...
The secret of success is learning how to use pain and pleasure instead of having pain and pleasure use you. If you do
that, you're in control of your life. If you don't, life controls you."
ILI CHADEMA MFANIKIWE INAWABIDI MSIRUDI NYUMA KATIKA HATUA MLIYOFIKIA, KUBALINI MAUMIVU YA MUDA YA...
Wale walikuwa vifaranga kwa hiyo CCM walijua mama yao bado yuko kazini, sasa mama anatoswa ndio maana povu linawatoka. mpango mkakati umeharibiwa. Hata asiyejua masuala ya siasa atajua ZZK alikuwa kibaraka wao (CCM). Maana walijua akiishaukwaa uenyeketi wa chama itakuwa mission complete. Kama...
Msaliti ni nani? - Kupitia hii historia utaweza kumjua msaliti na anavyofanya kazi. kwake muda si kitu hata akitumia miaka 20 au 30 hata 100 ili mradi anatimiza lengo lake.
10 of History's Most Notorious Traitorsby Laurie L. Dove
Basketball Pictures
After basketball star LeBron James returned...
Huku ni furaha na nderemo wanasema big up kamati kuu Chadema. tena nilikuwa nawauliza vijana kuona wanasemaje kuhusu kijana mwenzao, wanasema maamuzi ya cc ni sahihi kabisa.
Pia Ikumbukwe kuwa BOMU lililotumika kwenye hitimisho la Mkutano wa CHADEMA Arusha lilitoka CHINA. Je tunaweza kuamini kuwa walifadhili hiyo kazi (uhalifu)?
China ex-rail minister given suspended death sentence
Liu Zhijun was was dismissed from his ministerial
A Chinese court has given former Railways Minister Liu Zhijun a suspended death sentence for corruption and abuse of power, state media report.
Liu was accused of accepting bribes totalling...
Rais Obama akiongea na wanafunzi huko SA 5 things Obama wants young South Africans to know - CNN.com "There will be time to test your faith, but no matter how old you grow, I say ... don't lose those qualities of youth: your imagination, your optimism, your idealism, 'cause the future of this...
Ok, pengine mko sahii kwani maraisi walio tangulia walikuwa ni wa Muungano katika serikali mbili, ndio uzuri wa kuchangia mawazo. Lakini swali kwa nini tunatafuta katiba ya serikali ya tatu wakati mdhirika mmjawapo (Tanzania bara-Tanganyika) hana katiba?
Ndugu wadau hii imekaaje? au ndiyo siri ya kutaka serikali tatu?
SURA YA SABA
SERIKALI YA JAMHURI YA MUUNGANO
SEHEMU YA KWANZA
SERIKALI, RAIS NA MAKAMU WA RAIS
Haki ya
kuchaguli
wa tena
76
.-(1) Mtu ambaye ni Rais anaweza kuchaguliwa tena kushika kiti
hicho kwa kipindi kingine cha miaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.