Fursa kwa wale logo makers, Nahitaji logo yenye components zifuatazo.
Iwe na circle ya Dunia ( world Map ), not detailed
Iwe na ramani / map ya Afrika ( not detailed )
Iwe na sarafu ya fedha.
Iwe na mchoro / picha ya mwanamke (Ntakutumia picha yake na si lazima afanane nae 100%) just an...
Nchi yangu hii pendwa imefikia hatua kufumbia macho uchafu unaofanyika kwa mgongo wa demokrasia.
=== Mashoga wamefikia mahali wanajiuza hadharani kama njugu. Tunawaangalia tu eti kisa demokrasia.
=== Dawa za kulevya imefika hatua zinauzwa kama sembe huku mapapa wake wakiogopwa kuguswa...
" Yasini! Ingawa wazazi wangu wamekataa mimi kuolewa na wewe lakini moyo wangu umekuridhia wewe, nitaishi na wewe kwa shida na raha " yalikua ni maneno ya Saida kwa mpenzi wake Yasini miaka 10 iliyopita.
Yasini ni kijana mwenye ulemavu wa macho yote ( kipofu ). Yasini amekua kwenye maisha ya...
Nanukuu :
------
Kumbukumbu yako ikoje katika kukumbuka ?
Nilikuita ili uingie ndani.
Kwa sababu kila anayeingia lazima atoke nje
Sizonje " sizo za nje"
-------
Hapa ndipo walipovishana majoho yasiyoonekana.
Walisoma hapa, walimaliza hapa, kila kitu kiliishia hapa.
Walipokuja kwetu...
Tanzania yazidi kujitangaza kimataifa :
Mwigizaji hodari wa Filamu za Kihindi Sanjay Dutt alikuja Tanzania kwa mapumziko ya siku 21 ambapo alitembelea Mbuga za Wanyama ikiwa ni miezi kadhaa baada ya kuachiwa huru kutoka gerezani.
Copy & Pest from Millardayo.com
Ni stori inayotrend sana hapa TZ hasa hasa kwa social media, hadi inanifanya nijione TZ nimekuja kutalii na sio ninapoishi siku zote. Cha ajabu huwa najikuta kama niko mwenyewe nisiyekua na ufahamu kamili linapokuja swala la VUMBI LA KONGO. Linapokuja swala la mjadala wa vumbi la Kongo hua...
Maneno yanaponya, maneno yanaumba. Sema huwezi na tayari umeshashindwa, sema uko maskini na tayari umeshakua.....!! Japo waza wewe ni Bakhresa na tayari ushakua, Japo fikiria kuacha ulevi na tayari yametimia, Japo tamani kuacha ukahaba na uhuni tayari mbingu imefunguka kwa ajili yako...
Naomba kujuzwa hatua zote za kufuata kama machapisho, hariri za vitabu na zinginezo zinazofuata baada ya mwandishi/mtunzi kumaliza kazi yake. Na mahali kampuni zinazojihusisha na mambo hayo kwa dar es salaam, bei zake na mengineyo yanayoweza kusaidia kwa asiyefahamu kabisa kuhusiana na mambo...
Naomba kujuzwa hatua zote za kufuata kama machapisho, hariri za vitabu na zinginezo zinazofuata baada ya mwandishi/mtunzi kumaliza kazi yake. Na mahali kampuni zinazojihusisha na mambo hayo kwa dar es salaam, bei zake na mengineyo yanayoweza kusaidia kwa asiyefahamu kabisa kuhusiana na mambo...
HADITHI HII KUTOKA KATIKA KITABU CHA 'TUTARUDI NA ROHO ZETU' KITABU KILICHOANDIKWA NA MTUNZI WA RIWAYA ZA KUSISIMUA ZA UPELEELEZI, BEN R. MTOBWA. BAADA YA KUANDIKA KITABU HIKI BEN R. MTOBWA ALITOA KIDOKEZO KUWA 'IWE ZAWADI YAKE KWA KILA MWANAMAPINDUZI WA AFRIKA'.
Sasa fuatana nami ,ila ukuje...
Mods futa huu uzi. Umepostiwa kimakosa., Kila nikiitafuta icon ya ku delete uzi hua siioni., Bebeni hili jukumu wenyewe...!!
Wabongo naomba msi nijudge pulzi....!!
Kundi la watu zaidi ya 400 kutoka baadhi ya kata zinazopakana na mgodi wa dhahabu wa North Mara wilayani Tarime wanaotakiwa kuhama kupisha shughuli za uchimbaji, wavamia mgodi huo leo ( Jumapili) wakidai malipo ya fidia.
Wananchi hao ambao maeneo yao yalifanyiwa tathimini tangu 2014 bila...
Kwa wale wapenzi wa riwaya karibuni sana. Nikiwa mdau wa mambo hizi nimeona nishee moja ya riwaya ambayo nimeikuta mahali lakini sijaitunga mimi jamani niwe mkweli. Nimeona si vibaya tuka share starehe na utamu kama huu na wanajukwaa...!! Ipo mwanzo mwisho, hapana kuishia kanisani, No arosto...
Kwa wale wapenzi wa riwaya karibuni sana. Nikiwa mdau wa mambo hizi nimeona nishee moja ya riwaya amabayo nimeikuta mahali lakini sijaitunga mimi jamani niwe mkweli. Nimeona si vibaya tuka share starehe na utamu kama huu na wanajukwaa...!! Ipo mwanzo mwisho, hapana kuishia kanisani..!!
Kwa...
Southampton. Watafiti wa chuo kikuu cha Southampton wamesema watampa pauni 3,526( sawa na sh10.3 millioni) mtu yeyote atakayejitokeza aweze kuambukizwa kikohozi ili kusaidia uvumbuzi wa kisayansi.
Lengo lao kuba ni kutengeneza chanjo bora kuwalinda watoto na watu wazima ambao wapo hatarini...
Katika reseach yangu ndogo niliyoifanya hapa nchini kwetu nimegundua kati ya ndoa 10 basi 8 hadi 9 ni ndoa maslahi...!!
Ndoa Maslahi ni zile ambazo kuna maslahi nyuma ya pazia yaliowapelekea muwe pamoja lakini si kuridhisha hisia za upendo uliopo kati yenu.. Yumkini maslahi yaweza kua ni pesa...
A LETTER FROM A FRIEND TO A GOOD FRIEND... ( Kila kitu kitakua sawa )
Popote pale ulipo kama unasoma hii ni kwa ajili yako.,
Its too late brother. Usiishawishi nafsi yako unyonge.,Ni muda wako wa kusimama kwa ujasiri na kuufariji moyo wako. Beyond the clouds that sometimes get in your way...
Watanzania tumekua watu wa lawana kila uchao. Hivi majuzi watu waliwatupia sana lawama wasanii wetu wa bongo movie bila kujihukumu wao kwanza bila shaka kila mmoja anajua nini kilitokea...!!
Binafsi kwa kupitia maigizo/sinema/ na tamthilia za nchi tofauti imenisaidia sana kuujua ulimwengu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.