Mimi mkatolic pure, ila jamaa kaongea vyema na namuunga mkono. Viongoz wetu wako kmya kiac kwamba hawayaon yanayoendelea wakat awamu iliyopita walikuwa macho kana kwamba walikuwa na ugomvi na rais
Broo niliosema mm n ukwel, sema wahandisi mnajiona xana wala hamtak kpokea mapungufu yenu. Hivi ww unaweza kpokea tender ya serikali kweli. Unao huo mtaji. Maana unatakiwa ujenge jengo likishainuka ndo serikali itoe hella. Hapa UDSM vihandisi vinajishaua akat vikihitim shda tu kwanza utaalam zero
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.