Ongea vizuri na Mkeo,wamama wa sikuizi wanapenda sana upasuaji simply hawataki kupitia uchungu na wanaamini wanalinda **** isilegee.
Unaweza kudhani ni Wataalamu wa afya kumbe pendekezo la mteja ila umezungukwa.
Napishana na wewe kidogo.
Mambo kama hayo uswahilini sidhani kama yako sana kwakua kuna macho mengi. Ila ukipanga maeneo ya binafsi sana ndiko kunatokea hayo,niliwahi kupanga nyumba mkoa fulani miaka ya nyuma kidogo,jirani yangu alikuwa analeta wanawake watatu mpk wanne kwa siku.
Ila nadhani...
Pole sana.
Huijui Njombe wewe.
Matajiri wa Njombe wanashinda na watu wengine kikawaida sana. Siyo ajabu kumkuta tajiri anakula supu mahali wanapokula vijana wanaoingiza elfu kumi kwa siku.
Hawana kujitutumua,mtu anapakia semi kadhaa za mbao anaenda Dar anauza halafu anarudi na pesa zake zote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.