hawa chadema mie hata sielewi wana ajenda gani ya siri maana sio wazalendoo kabisa hawazitambua siku za kitaifaaa wao ni kgomaa tu kama wana uchngu na nchii mbona posho za mjengoni hawagomi kupokea ili ziende zikasaidie wananchii na matatizo mbalimbali hawa ni wasaniii jaman tuwaepuke kama ukomaaa
usipozungumzia CCM utazungumzia nini sasa wakati ndicho chama kongwe,dumee yan ukigusa CCM tuu ama chochotee yawe maswala ya kiuchumi,kiutamaduni, na kisiasaa CCM haiepukikiii aiseee,poreee alaf tangiapo ni maarufu sanaaa tuu si ajabu hata kabla ujazaliwa enzi za babu zakoo na hata kikitoka leo...
yan kuna watu humu JF sijui wanatumwa yan kazi yao ni kutunga story na kubandikaaa hewani kumbe ni uwongoo hii mara ya tatu sasa kwa uzoefu wangu wt wana post vitu vya kizushii tuwe waungwana jaman chuki zitatupeleka pabayaa.
Mukama mtu safi banaa mnyonge tumnyongee lakini haki yk tumpatie,wabongo kwa kupondaaa,hz point kwenye hy unayoiita profilee umezidiwa hoja aisee very week
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.