hivi hizi analysis mnazifanyaje? kwamba kawaimalisha?
1. Inazidi kuprove kuwa CCM hawawezi kuendelea bila Mafisadi, ndio wano-control chama
2. wananchi watazidi kuvunja Imani na CCM, manake na mbwebwe zote za siku 90, wao wenyewe wanapingana
3. tatizo kubwa la umaskin ni ufisadi, Mnyonge gani...
Naomba mtoa hoja anipe majibu/maelezo ya vitu yafuatayo
1. Kuna uhusiano gani wa Kununua Gari bovu na Ufisadi?
2. Je wangenunua Jipya could it prove usafi wao?
3. Ni Mtanzania Gani ane nunua Gari jipya zaidi ya Serikali? sasa Chademakutaka kununua Magari 2nd Hand ni kosa gani na linauhusiano...
Mlimtuma Shibuda tumemtumua, eti LUXURY basi, una Luxury gani wewe? na Magamba yenu waone, eti Mnasimama mnasema hamjawapa siku 90 na hamna list, Luxury My foot
Kapewa wizara inamzingua, aje apewe Uraisi? na Udini wao kama kivili cha siku hizi/ aendee mbali huko,
But, nadhani CCM watakuwa wapuuzi wakimuweka Mwinyi kupambana na Slaa
:A S 39:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.