Kama bile Mungu yesu alivyoshindwa kujiokoa akapigwa na watu alowaumba mwenyewe na kilio juu alilia[emoji419][emoji1787][emoji419][emoji23][emoji23] haya ni maajabu jamani!!
Yasni uache kushangaa mungu yesu ukashangae waislam mzima kweli wewe!!!
Makosa gani ya ajabu alifanya!!? Mbona mnapenda kuhukumu watu kwa vitu vidogo sanaaa?!! Zile ni siasa kama siasa zingine tu yeye sio wa kwanza wala wa mwisho..
Bashe alimtukana kikwete waziwazi bado kuna kina chalamila yeye tena alisema Makamo anaweza kua mchawi akamroga Rais hapo unahisi...
Kivipi?!!! [emoji38][emoji38][emoji38] hivi wewe ulikuwepo wakati mkapa anagombea u Rais unajua alichuana na nani?!!! Na alikua wa ngapi baada ya mkapa?!!
Itakua ulizaliwa juziii..
LOWASSA ZAIDI YA URAFIKI WAO NA KIKWETE HAKUMSAIDIA KUA RAIS, kikwete nyota yake ilishang’aaa hakukua wa...
Kwani katiba inasemaje kuhusu matibabu ya hao viongozi wa juu?!! Ni huruma ya Rais?! So bira Rais lowasa ilikua atoe pesa mfukoni mwake?!!! Na wao hawana pesa!???
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.