Pamoja na juhudi nzuri za kujitetea kwa ndugu zangu waislamu, lakini ukweli unabaki palepale kuwa Uislamu kwa sasa umepoteza mvuto kwani ndiyo ulitufikisha hapa tulipoooooo!!!!
Ikumbukwe kuwa swala la juhudi za kuuneza uislamu umejimaliza wenyewe, hakuna mtu tena aliye mkristo ama mpagani...
Mimi najiuliza swali, katika kuran tukufu haizungumzii ubaguzi wa kijinga naman hii, sasa haya yanatoka wapi? Je ni kale ka ujira kadogo baada ya kuchinja ama ni kule kutimiza ibada yao? na kama ndo hivyo, kweli mtu anategemea kuishi kwa ujira wa kuchinja wanyama tena kwa kudoea!! ooh my God...
Hiki ki-enginer fake, mmekikawiza tu, mimi nasema hatumtaki tena kuwa mkuu wa mkoa wa mwanza aende zake huko anakojikombea. TOKA NDIKILO NASEMA TOKA TENA TOKA haraka sana la sivyo nguvu ya wapenda amani na umoja wa kitaifa itakuondoa mara moja.
Tokaaaaaaaaaaaa!!!!
Huyu bwana ndikilo, kwa kweli amepotoka pakubwa sana! na nijuavyo mimi huo ndo mwisho wake kwani amegusa mboni ya jicho la Mungu aliye hai. Nyie subirini tu kwisha habari yake huyo!
wewe umetumwa eee? pishilia mbali kabisaaaaaa!! Hata sisi wa pembezoni tumeipata hiyo na tutaitumia kuwakataa magamba wote iwe, udiwani, ubunge ama urais enough is enough magamba to lead us!! Liwalo na liwe
Ninachokifahamu mimi yule kihiyo wa kiagata hana integrity yoyote bali anatumia hasira za jando lao. Tusipokuwa makini kwenye kataiba ijayo atawatukana wabunge makini na kulazimisha mambo yasiyo na tija kwa Taifa hili. Kimsingi hatuna AG bali ni mzee wa kutoa matusi tu!!!
Jamani hapa wafanyakazi tuungane kwa ngivu zote na HLRC kuiburuza serikali mahakamani!! sitaki hicho kitu nasema tena sikitaki haijarishi RiZ ameisaini hiyo sheria fake kama ilivyo ada yake!! Wafanyakazi tuungane katika hili maana ni kiama juu ya kiama!!
My God! Huyu jamaa inafaa awe kehsfukuzwa miaka 47niliyopita ni kibaraka wa majungu na mnoko kuliko maelezo. Wakatoliki fukuzieni huyo mbali kabisaaaa, kwani kaifanya hospitali ya kijiweni kabisaaa
Wewe una shangaa ya mkurugenzi wa moshi? Mbona yule wa mwanza alipofanya wizi mkubwa na kesi yake kupelekwa polisi aliteuliwa chapu chapu kuwa kibosile wa wizara ya maji!!! mimi nadhani sirikali hii ni ya kuondoa tu yote!! Kwani hata wizara ya maji mambo ni kama ya mkuchika tu wizi ni kama...
Ee MUNGU mponye mpambanaji na mkombozi wetu. Kwani ndiye aliyetufanya Igunga tushinde japo magamba walijichukulia maamuzi ila ni kwa muda tu, 2015 walie tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.