Kwa majina Naitwa PETER LIVING Mkaazi wa bagamoyo Mkoa wa pwani ni MTAALAMU wa UJENZI wa MASHIMO ya choo majumbani taasisi na kwenye makampuni ...pia ni MTAALAMU nzuri kwenye shimo linalojaa Mara kwa Mara yaani maji yanajaa kwa wiki au wiki mbili ..nipigie kwa ajili ya kutatua tatizo lako kwa...
Kuna kipindi nilisemaga Mzee mamvi alijiunga chadema ili akakiue chama watu mkataa lakini amini mzee lowassa ndiye alisababisha chama Cha demokrasia na maendeleo kiwe kama kilivyo sasa
Mkuu nashukuru sana kwa maelekezo haya maana umenifumbua macho na kunipa mwanga nilikuwa sina hii idea kwa kuwa nimeipata na hii link ninafuata maelekezo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuhusu suala la mtaji Mkuu kwa kweli sina ila nalifikiria sana hilo jambo ..ila shida kazi ambayo ndo mtaji Wa kuanzia ili nipate kipato sipati za uhakika
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimefurahi sana kuona majibu yenye kunipa matumaini ila mbali na hizi shukrani zangu za dhati napenda kumjibu ndugu mmoja alieniuliza swali
Kuhusu kujichanganya ...
Huwa najichanganya sana na watu wanaofanya kazi hizi na Mara nyingi nafanya nao kazi kwa weledi mzuri unaridhisha kwa kiasi...
Napenda kujishughulisha hasa kupitia fani na kipawa alichonipatia mwenyezi mubgu mwingi Wa rehema kazi yangu ni Fundi ,Masonry ,plumber,home garden designer but pamoja na kuwa na uwezo huo kipato changu ni kidogo kutokana na ufinyu Wa kazi pamoja na kazi ambazo huwa nikizipata kuzifanya kwa...
Serikali tutakujua tu kwa weledi wako katika kulitumikia taifa hata kama namba za simu usingetoa tungekuona tu kama ww ni mchapakazi lazima tutakufahamu acha sifa za kijinga pumbavu
Una uhakika gani kama mafunzo ya mgambo na JKT ni tofauti na mgambo ??? Kijana kama hujui jambo jaribu kujifanya mjinga mambo mengi utayafahamu ...usichanganye story za kuambiwa huko vijiweni uje kubishana huku kwenye media ...# isaya manase # take care ndugu ....
Mbwa ni kiumbe mwaminifu kuliko wewe mjinga kama wewe kama inakukera hama chama hujalazimishwa kuwa chadema mjinga we we ....ni heri yeye aliyejali haki za wanyama kuliko wewe usijali haki za binadamu ...
Nakushauri mtafute mwanaume Wa maisha yako na awe mumeo pia mzae watoto wazuri mkatekeleze amri ya mungu sawasawa na mapenzi yake ...umheshimu nawe akuheshimu ...lakini haya yote hayatakamilika kwa mwanadamu Dada ila ni kwa kumtanguliza mungu mbele ...ili akatete na mwanaume utakaekutana nae awe...
Kuwa mkweli basi
Nimegundua kwamba wewe unamtafuta unaemtaka ..yaani unamwangalia mtu kwa wasifu Wa nje ...coz mwanaume anaekutokea Leo then umpende Leo Leo ..sina uhakika kama utamfahamu kiundani ...je unatumia njia kumgundua unaempenda wewe kama na yeye atakupenda
Dada kabla hujaanza kufanya uamuzi huu kwanza jiandae kisaikolojia kwanza ...hakuna jambo zito na ambalo inastahili kutumia akili nyingi kama kunzisha mahusiano ya kimapenzi pia hakuna jambo linaloweza kukunyima raha kama hilo ...ukizingatia wewe ni mtani wangu dah nawajua kwa wivu
Mimi nakumbuka nikiwa Tabora nilikuwa na demu siku moja akazama geto wakati namalizia kupiga goli la pili tu ..nikaskia mlango unagongwa huku demu akiniambia kuna mtu anagonga mlango ...mida ya jioni kuna demu mmoja mpya nilitokea kumaind mzigo kutokana alivyokuwa bomba nikamuaproach akaniambia...
Mimi huwa wananijua pale Kinondoni studio kuna saloon moja hivi walikuja kwa staili zao hizo hizo nikawatolea nje badala ya kunitapeli Mimi nikawatapeli Mimi ...walichoka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.