Hii Ni Movie imetengenezwa kwa sababu za Kisiasa hakuna kitu hapo! Askari wanayedai ameuwawa kwenye mapambano amezikwa kimya kimya WHY? Hana Jina? Mbona waliokufa DRC & DARFUL walilzikwa kwa heshima zote za Kijeshi why NOT This One?
Ugonjwa unapatikana kwenye nchi za ukanda wa joto, na WHO imesema asilimia arobaini (40%) wanaathirika dunia nzima sasa hao watu milioni tano ndiyo asilimia arobaini ya world population au asilimia arobaini ya wanaoishi kwenye ukanda wa joto (NCHI KADHAA) ambako dengue inapatikana? Msemaji wa...
Wewee! Na yule Kiongozi wa FNLR aliyetekwa Kigoma akiwa anarudi nyumbani kwake na akapelekwa Kigali, Je mliweza kuzuia? Au hujui mambo yanayoendelea we acha tu!
Ritz Prof wangu (from Cyprus) wakati ninafanya Masters aliniambia/alituambia kama developing countries msikubali kuuza chochote nje bila ya kuki ADD VALUE! kwa hiyo Dr Slaa yuko sahihi na wachumi wengine! Bidhaa zote mpaka apples toka nje zimesha ongezewa VALUE!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.