Search results

  1. N

    Kwenye sakata la Mchungaji Kimaro, nasimama na Kiongozi wangu Askofu Malasusa

    Walutheri tuna bahasha ya Ahadi na Jengo- naahidi mwenyewe kiasi cha kumtolea Mungu kwa mwaka mzima ninachoona nitaweza.
  2. N

    Nguvu ya mamba kumai, hakuna aliye mkubwa kuliko taasisi

    Very controversial statements!!!! Ina maana kumbe haamini hata ulutheri wake!!!!
  3. N

    KKKT ni kubwa kuliko Mch. Kimaro, msihuzunike kuna jambo hamlijui, viongozi wake hawajakurupuka

    Wanamtaka Kimaro siyo Kristo!!!! Hapa pana shida kubwa!!! Hayo mafundisho hayajawaingia hao Wanmtaka Kimaro siyo Kristo!!! Hapa pana shida kubwa. Inaonyesha mafundisho hayajawaingia hawa watu!!!!
  4. N

    Mch. Kimaro wa KKKT niliziona Mbio zake nikajua mwisho hautokuwa mzuri

    Ndiyo alitakiwa awabadilishe siyo kuwakebehi. Kukiri maana yake kashindwa kazi ya Mungu ya kuwabadilisha hao uliowataja!!!!
  5. N

    Haikuwa kazi rahisi kumng'oa Dr. Eliona Kimaro Kijitonyama, tulitumia mbinu nyingi ziligonga mwamba

    Kwani Kimaro anashindwa nini kuendelea kuharibu biashara za watu akiwa Kijitonyama!!!! Acha uongo!!!!
  6. N

    Aibu: Waumini wanawake KKKT wanaenda kanisani na suruali / jeans zilizobana, kanisa linachukulia poa tu

    Kabisa mkuu!!!! Waondoke nao, Mtumishi mzuri wa Mungu anatakiwa avute watu wamfuate Kristo. Wamjue sana Mungu na kuamua kumpokea Kristo kuwa Bwana na Mwokozi wao. Siyo kumtaka E. K!!!! E. K. ni mtumishi wa Mungu anaweza kutumwa kokote kutenda kazi ya Bwana!!!
  7. N

    Dkt. Mwigulu: Tutabana Matumizi kwenye chai, vitafunwa, safari ndani na nje ya nchi na semina. Viongozi watumie usafiri wa pamoja ziarani!

    Hajafanya kitu. Alitakiwa afute tozo zote. Hii hel tuliyoweka benki mbona tumeshailipia kodi!!!!! Hamna kitu hapa.
  8. N

    Mlimani City walikuwa wanajiamini na nini hadi kumgomea Magufuli hivi? Inamilikiwa na nani?

    Hawawasemi ila wanatafakari jeuri hiyo waliitoa wapi. Wote tunamjua yule mtu alivyokuwa akioperate lakini kweli hakuwagusa. Ilikuwaje????
  9. N

    EWURA yatangaza bei mpya ya mafuta zinazoanza kutumika Juni Mosi

    Kama unakumbuka vizuri nauli zilipandishwa bei ya mafut ilipopanda na kufikia 2800 na kitu hivi. Hatukupiga kelele. Ilivyopanda mpaka 3300 na kitu ndipo watu wakapiga kelele. Nauli haiwezi kushushwa kwa vile ilipanda kipindi cha 2800 na kitu.
  10. N

    EWURA yatangaza bei mpya ya mafuta zinazoanza kutumika Juni Mosi

    Hakuna punguzo hapo. Hiyo ni danganya toto. Kesho kutwa tu watapandisha tena kufikia hiyo hiyo elfu tatu na kitu. Wana siasa hawawezi kuongoza nchi wameshindwa kabisa. Vitu vinapanda bei kila siku!!!!!
  11. N

    Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Nishati ya Trilioni 2.9: Gridi ya taifa kufika Kigoma na Katavi kabla ya Oktoba 2022

    Na bei ya mafuta ndiyo mmetudanganya mmepunguza shilingi mia tu!!!! Siasa mbaya sana. Hawa watu wameshindwa kuongoza hii nchi.
  12. N

    Yuko wapi Cyprian Majura Musiba?

    Amelipa hela za watu? Labda kajichimbia mahali anaoggopa.
  13. N

    Kanuni mpya Kikokotoo Inaondoa ubabe wa NSSF. Siasa za Magufuli ziliwabeba waonevu NSSF

    Makumbuka kama alisema miwili mpaka 2022!!!!
  14. N

    Mara ghafla Mbowe, Mnyika, Lissu na Heche wasimamishwa uongozi Chadema, msajili aridhia

    Ndiyo maana namshangaa Mbowe kuwaamini CCM. Adui yako siyo wa kumuamini hata kidogo. Umekaa ndani miezi sita na leo unalilia maridhiano!!! Kuna maridhiano gani hapo? Kama siyo mashinikizo toka pande zote leo Mbowe angekuwa nje!!! Huko ccm walipiga kelele sana kuwa Mbowe ni gaidi!!!! Inabidi CDM...
  15. N

    Msajili abariki Mbatia na Wenzake kusimamishwa NCCR Mageuzi

    Bye bye NCCR!!!! Ndiyo umekufa kabisa kisiasa!!!! Duh! CCM bwana!!! Mnayaweza kabisa.
Back
Top Bottom