Waliamini kwamba wazee wa kirusi ndo walokuwa wakimuunga mkono Putin kwa wingi lakini pale Red Square ni vijana wengi sana wamejitokeza na ndo wanomuunga mkono hata kwenye sanduku la kura.
Hali imekuwa tofauti sana na matarajio ya wahasimu wa Russia.
Tatizo kubwa ni kwamba Putin atakuwepo kwa...
NATO wana wanajeshi wa kutosha Ukraine na Putin kasema jana kuhusu hilo.
Kasema wanawasikia wakizungumza kifaransa na kiingereza barabara hivyo Russia wafahamu kuwa mamluki wapo uwanja wa vita.
Na akasema hata kama wapo Ukraine kwa shughuli zisizohusu kutumia silaha na kupigana lakini hiyo ni...
Ukiula ule mchele wenye virutubisho kwa nyama (wali nyama) na ukashiba hiyo tu ni dose ya tatu maana kuna chanjo na kuna dawa ingine ya malaria imeingia kazini.
Waafrika tuna hali mbaya upstairs.
Kuna tabia moja hivi hawa wenzetu wanayo ambayo huitwa "condescending", si tabia njema sana kwa ulimwengu wa sasa.
Wamekuwa wakiwakalia kooni Niger na kuwalazimisha kuchagua washirika wakati Niger ni nchi huru yenye uwezo wa kujiamulia mambo yake.
Marekani bado yafanya mabo yake huku imeziba...
C'moon wadhani alikuwa hafahamu kweli?
Ni uchu wa madaraka ulikuwa katika "despetare state".
Ni pale usemapo kuna vita katika viambaza vya utawala, "desperate measures in desperate times".
Na si kwambani yeyeapewe sifa kwa kutuliza hali bali ni kufikia muafaka baina ya makundi mawili yenye...
Hakuwa na chagua tayari alikuwa na chaguo lake lakini akashauriwa ( na kwa kutofahamu hila akakubali) na badala yake akawa Sa100.
Haya mambo hayahitaji Phd kuyadadavua ni kuunganisha dots tu.
Hivyo akiwa hoi akaona nchi yarudi kulekule na kwa kutaka kuyaendeleza aloyaanza akasahau kwamba kuna...
Ni kweli kabisa angeongea na watu wa TBS wakaupima mchele hata usiku wa manane na asubuhi wakatoa taarifa.
Mchele tayari upo kwenye "food chain" watu washapiga beche na Shaba sie twazungumzia matokeo.
Sikiliza tena alokisema Mabeyo ametumia misamiati kadhaa kukujulisha ni nani walikuwa wasimamizi wa shughuli nzima.
Yeye alibaki kama mtazamaji au tuseme mwamuzi wa mpira au VAR.
Biashara ya usafiri ikipangwa uzuri na kuwa na mfumo bora ni biashara nzuri sana yenye kutoa ajira za aina zote na kuvutia vipaji vyote.
Kwa jiji pekee la Dar biashara ya usafiri wa mfumo mmoja ingepunguza tatizo la ajira.
Pia mfumo ukiwa thabiti unaondoa daladala na kunakuwa na njia maalum za...
Nakumbuka mwaka 2007 nilikupa jina la "Pascal The comedian".
Ni miaka 17 hiyo imepita nilipokupa jina hilo bado weye watuonesha kuwa kweli ni comedian.
Kuna kipindi huwa warudi kwenye mstari lakini ukitoka tu nje ya mstari warudia theatre of comedy.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.