Na aliposema "tumeamka vizuri" hukuelewa? Katika logic hakikisha statement zote ziko kwenye harmony. Ukiona sentensi zote hazipo kwenye harmony something is wrong.
Na aliposema "tumeamka vizuri" hukuelewa? Katika logic hakikisha statement zote ziko kwenye harmony. Ukiona sentensi zote hazipo kwenye harmony something is wrong.
Ana akili gani? Huyonl ni mtoto mdogo na hajui chochote. Unapoanza jambo productive usifikiri mambo yatakuwa mteremko. Hata unapozaa watoto utashangaa wengine wanakuwa na tabia za hovyo na hiyo haimaanishh kuwa kuwa na watoto ni jambo baya. Lazima uwe na mipango ya kumitigate matatizo yanapotokea
Moja ya sababu inawafanya iphone users kuendelea kununua iphones ni ecosystem( kumbuka hapa simaanishi hawa wanaonunua iphone for showoffs). Ukiwa na Macbook, iphone na buds ni vigumu kuacha kununua iphone. Hizo device zinafanya kazi pamoja kwa ufanisi zaidi. Tofauti na simu kama samsung...
Apple wanakuwa wa mwisho kwenye kuadapt features mpya ila wanapokuja na hizo features wanazifanya ziwe bora 10 times. Mfano anagalia Face ID imekuja around 2018 wakati android ipo muda mrefu, sasa linganisha efficiency yake.
Hizi huwa ni ndoto za Abunnwasi na ndo zinawaponza vijana wa A-level na vyuo vikuu. Wakija mtaani hawakutani na haya mambo bali ajira za 250k mpaka 600k. Watu wanaolipwa 5M ni wachache sana tena sana ukilinganisha na wanaolipwa chini ya laki 9
Kati ya kitu wamarekani huwa hawakosei kwenye mahesabu ya pesa katika biashara. Kuna njia nyingi za kugenerate mapato na njia kuu kwa Chelsea ni kuuza wachezaji wa academy ili kupata pure profit. Mchezaji kama Galagher, Chalobah na academy players ambao ni injury prone wanaweza kuuzwa
1. Chilwel, James, Gusto, Cuculera injured, wewe kama mtaalamu unamchezesha nani full back wa kushoto na kulia kwa wachezaji tulio nao wengine?
2. Hatuna typical namba sita na hivyo usitegemee mabeki kuwa stable. Muda wote tunaposhumbuliwa huwa unamtazama Caisedo yuko wapi na anafanya nini?
Caisedo anachezeshwa namba 6 ili siyo nafasi anayoimudu. Namba sita halisia ni mchezaji kama Rice au Rodri.
Caisedo yeye ni mzuri kama box to box midfield. Anaweza kuja nyuma kusaidia timu ianze mashambulizi na baada ya hapo atapanda juu kushambilia kama timu ina mpira au kukata umeme huko...
Wakuu matatizo ya Chelsea ni makubwa kuliko kocha.
Angalia
=>timu inakosa balance kwa sababu hatuna namba 6,
=>hatuna clinical striker,
=>Thiago is running out of energy na hatuna right substitution akiondoka,
=>Hakuna viongozi pale uwanjani kariba ya Lampard, Drogba, Terry, Peter Chec...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.