Waziri hana mandate ya kumfukuza mtumishi wa umma.
Ajaribu aone kama hajamlipa fidia na kumrudisha kazini. Usitumie mihemko. Mtumishi akikosea Kuna utaratibu wa namna ya kumshughulikia na siyo anakuja mtu mmoja tu anamfukuza kazi.
Kama hujui mkuu wa shule /makami mkuu wa shule /mhasibu wanamanage nini shuleni kukuelewesha wewe ni kazi bure.. Baki hivyo hivyo unavyoelewa wewe upo sahihi kabisa
Huna akili mbuzi.
Ww hujawahi kukwama kwa kupandishiwa nauli ndio maana unabwabwaja.
Kama biashara hiyo haiwalipi wangeacha.
Wqo walikwambia kusafirisha abiria siku za kawaida ni hasara?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.