hapana ndugu...ngwajima ni binadamu kama wengine ana hisia, hasira, kutotaka kuaibishwa, na sifa zote za binadam...uweke pembeni uchungaji..tumchue yeye kama yeye kama mtu alie aibishwa sana....kama ni kweli anahusika na madawa wamfunge kama inavo wataka kisheria ila kama ilikua kuwachafua na...
Nashukuru sana ndugu....ila usiamini hicho unacho amini coz hujui nafanya nn saiz...sja kaa tuu kusubilia kuajiliwa...am doing my own staffs for my life....kwasababu napenda ku work na crdb ndio maana nime express my feeling...ss
daah...mbona mambo magumu ivooo
Najua bank ina goals,mission and vission na inahitaji watu wakufanya kaz kwa moyo wote for archievement!! Am here,am ready...na iwill work to make sure my dream bank go far and extra mile to deliver
Moyo utaridhika sababu bank is not exist any more...kinaniuma coz the bank i was dreaming is still there na kuna watu wanaishi ndoto yangu(employees and all staff)
Ni kweli ...ila utategemeana sana sana na unacho fanya...kama ni cha mtaji mkubwa na unauwezo kwa kutengeneza profit ya kutosha per day after excluding all cost...unqfanikiwa mapema sana.....kufanya kaz crdb....i was dreaming for long time!! Nisha maliza kila kitu nilichokua napaswa kufanya...
Nimepeleka tu barua....sijawahi sikia wanatangaza ajira.....hata online website yako kwa upande wa online application kila siku iko in maintanance....i know about GPA
Kwa sasa ukiji ajiri kuna uwezekano mkubwa sana wa kufanikiwa kwa mda mfupi.
LAZIMA NIJIAJIRI kwasababu na uchu wa mafanikio.....lakini kusoma kwangu mpaka chuoo nilikua na ndoto ya kufanya kazi katika bank ya CRDB...NDIO MAANA nikaenda IFM kusoma banking and finance baada ya kufauru vizur...
Ukihisi una uelewa wa kitu flani na unataka ku share na wanajamii nao wafaidike kwa ujuzi wako una anzisha thread yako safi kabisa...watu tutapita tutasoma na kukushukuru kwa upendo...kama nami kwa sasa navo mshukuru dr.MZIZI MKAVU!kwa sababu sijalipia alicho nifundisha..ntakitumia milele...
Sijawahi fanya biashara ya kuvuka boda, sasa nataka nisafirishe mazao yangu nijaribu na soko la Kenya kama naweza kupata angalau faida maana huko Dar madalali hawana huruma na mtaji wangu.
Mwenye uzoefu wa ninachotaka kukifanya NAOMBA ANISAIDIE TAFADHALI
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.