Maneno ya busara na hekima,inasikitisha,ukatili unaondelea,hawa viongozi wastaafu wapo wapi?,Mungu atawahukumu kwa kuyafumbia macho haya mabaya sana,yenye ukatili.
Sasa unakusudia kwamba ukawa waunde kundi lisilojulikana,kukabiliana na hawa wasiojulikana,sababu haya Hilo jeshi la polisi limeshindwa kuwatambua hawa wasiojulikana,kwa maana hiyo,inatakiwa tit for tat,tena hili jambo liwe tayari kwa sasa liwepo,na mradi wa mwanzo Ni kwa wale walomdhulumu...
Huyu Mwigulu ndio jitu baya kabisa,ati kwa Kuwait anavaa bendera,Ni kwamba eti yeye ndio inayamuuma nchi hii,nchi hii Ni ya watu wote,uajnja wake Ni wake mwenyewe.huyu akiachiwa nchi itaingia katika maafa makubwa,sababu
Huyu Mwigulu ndio jitu baya kabisa,ati kwa Kuwa eti anavaa bendera ndio...
Hawa ni wapinzani wa serikali ya CCM,ambao wakati ule walikuwa watiifu,wakiwa na mapenzi na imani na serikali na nchi yao,je wakikusanyika hivi,na wakadai haki za kibinaadamu zinazovunjwa zikome,itakuwaje ?????. Ukawa Huu ni wakati wa kuitisha milions march dar,Kwa maombolezi ya...
. Ukawa Huu ni wakati wa kuitisha makutano ya amani ya mamilioni ya Kama hapo juu unavyoona dar es salaam,Kwa maombolezi ya waliotekwa,kuuwawa na uvunjwaji wa haki za binaadamu.
Mkuu hakuna haja ya kuzungukazunguka kupoza homa kwa panadol kumbe ugonjwa ni malaria kali,tusema maneno bila kumungunya .Mwenyekiti wa CCM na ambaye pia ni raisi wa Tanzania Pombe John Magufuli ndio hapendi,hataki,anasikia kichefuchefu kwa neno wapizani hasa Chadema,yeye kwake upinzani ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.