Search results

  1. C

    Amani karume yuko wapi?

    maana kwa ninavyokua mm huyu jamaa darasa dogo sana sasa sijui amekuwa offerd na univesity gani ambayo itatoa wahitimu bomu
  2. C

    Amani karume yuko wapi?

    mwalimu wa kitu gani kufundisha watu kuiba au kunywa pombe hebu tuweke sawa hapo ndugu...
  3. C

    Ni Zanzibar ipi wanaitaka?

    sio theory ndugu
  4. C

    Ni Zanzibar ipi wanaitaka?

    hayo yote si lolote si chochote kama uhuru wa nchi yako ....usikonde wewe wacha haya mambo yende uzuri then jibu lako utalipata kwa vitendo sio text
  5. C

    Ni Zanzibar ipi wanaitaka?

    mm nataka kukuliza wewe @nguruvv ivi wewe ungekuwa unatokea visiwani unelikubali uburuzwe haka hivi ? or kwa kuwa wewe mtanganyika ndio unaona hivyo unavyoona wewe . usiwe na akili kama za hilo jina lako sawa hebu jaribu kuwa mstarabu unaweza kuifikiria znz kabla ya kuungana hembu vuta hisia...
  6. C

    Madai ya Wazanzibari 15 na Yasemwavyo kuhusu Muungano na Hatima Yake

    uko rite mkuu there is no need kukaa kuyavumilia manyanyaso kama yapo...lakini sio kweli ati nyie mnaitwa wabara and nyie hamuwaiti lolote mm nadhani wewe kwanza muongo kama sio hivyo basi wewe sio mtu wa tanganyika unajidai tu. kwasababu hapo dar kuitwa mpemba imekuwa kama chai au kwa washinda...
  7. C

    Ni Zanzibar ipi wanaitaka?

    wewe ni nguruvi3 o nguruwe ? hahaha unahoja gani hapo mimi nataka uamini hivi ingelikuwa nyerere hajafanya crusade hapa zanzibar i swear mungelikuwa mnakuja kwa visa hapa maana hilo pori letu hata pakupumulia hamna zaidi msubiri kuliwa na simba ambao naona sasa washaanza kufika mbagala kesho...
  8. C

    Ni Zanzibar ipi wanaitaka?

    wacha ile kwetu ishakula kwetu now 47 years na haijawa lolote ndio tumepata nguvu haswa
  9. C

    Ni Zanzibar ipi wanaitaka?

    u must be too nervous and wewe kama kinauma kichwa sisi kichwa tumbo na miguu hadi mwili mzima tumeparalize kwa huu mungano feki
  10. C

    Ni Zanzibar ipi wanaitaka?

    na kwann isikuwapo sababu ya kudai tangayika yenu ? Hili koti la muungano mutajivisha mpaka lini maana kipindi cha joto kinakuja msije mkaanza kupapatua kutaka kulivua while is too late...katika kila comment yako kitu kikubwa umeonyesha kuwa na chuki na visiwa hivi vya marashi ya karafuu and...
  11. C

    Ni Zanzibar ipi wanaitaka?

    unataka kujua nn kuhusu huyo kafiri ? Allah amemlaani amemtokomeza kama alivyomtokomeza firauni wa misri kwa kuzulumu roho za waumini wa kweli vipenzi vyake Allah ...bahati nzuri Field Marshal wa ukweli iddi amin dada was take care of this guy na ndio maana kafa kibudu(nyerere wenu akaleta...
  12. C

    Muungano wa Tanganyika na Zanzibar: Una faida gani na kwa manufaa ya nani?

    inaelekea unaelewa haya mapinduzi kwa historia za shule but sisi tunojua huwa tunawauliza watu kama nyie yule john okelo alotoka uganda ameletwa na nani ikiwa hivyo unavyosema ni sawa then wale askari vikaptula nao ni askari wa zanzibar?
  13. C

    Elections 2010 Serikali: Walioachana mswada wa mapitio ya Katiba Zenji Wahuni

    it doesn't matter who will be the loser as long as the chain are no longer in your neck ...and kwa usomi huo wa kuibiana bora niwe kilaza tu coz end of the day kumbe unachuma moto and hell is waitng for u and mwengine kama wewe lil brother kwani ndio mtindo wa bara chuna ngozi, uwa albino uwe...
  14. C

    Nchi yetu inaitwa Tanganyika

    kwani muliambiwa mtarudi nyuma ? lengo ni kuwa sawa na sio kuwaonea walio kidogo...
  15. C

    Nchi yetu inaitwa Tanganyika

    nyeyerere alitabiri hivyo tu ? hata bara alitabiri itakuwa wanyamwezi na wamakua na wachanga na wamasai
Back
Top Bottom