Search results

  1. Roger Ramer

    Chuo bora kati ya DIT na NIT kwa mechanical engineering

    Hiyo a.k.a imetokana na ukwel uliopo kwamba wengi wanasema pale ni pagumu
  2. Roger Ramer

    Chuo bora kati ya DIT na NIT kwa mechanical engineering

    yuo vinavyofanana na DIT ni kama vp?
  3. Roger Ramer

    Chuo bora kati ya DIT na NIT kwa mechanical engineering

    Hivi nkimaliza diplo DIT halaf nkaomba bachelor chuo kingine ntasoma bachelor miaka mitatu?
  4. Roger Ramer

    Chuo bora kati ya DIT na NIT kwa mechanical engineering

    Baada ya Kwan ugumu wake nini hasa?
  5. Roger Ramer

    Chuo bora kati ya DIT na NIT kwa mechanical engineering

    Nataka kuchukua diploma ya mechanical engineering na nmechaguliwa DIT na NIT. Kozi ya diplo kwa waliomaliza form6 kama mimi ni miaka miwili NIT lakini DIT ni lazima miaka mitatu. Naombeni ushauri wenu nikasome wapi?
  6. Roger Ramer

    Dondosha coment ya season kali uliyowahi kuiona

    Ok poa ila kwa ninavyofahamu series ni ule mfululizo wa episodes ambazo kwa ujumla wake ndo inaitwa season
  7. Roger Ramer

    Dondosha coment ya season kali uliyowahi kuiona

    Umetisha Mzee..nmeulizia nyama umeleta dagaa[emoji47]
  8. Roger Ramer

    Dondosha coment ya season kali uliyowahi kuiona

    Maana si ileile ndugu
  9. Roger Ramer

    Dondosha coment ya season kali uliyowahi kuiona

    Niadje ndugu unaesoma Uzi huu kwa wakati huu?.. Wakorea wanasifika sana kwa utunzi mzuri wa story ktk season zao. Je ni season gani kali uliyowahi kuitazama ukaipenda? Tutajie jina la season yoyote ile uliyoipenda iwe ya kichina, kikorea au hata ya kizungu na ni kwa nini umeipenda season hiyo...
  10. Roger Ramer

    Ndugu yangu mwenye umri wa miaka 19 anatatizo la kuwa na Kitovu kikubwa

    Ndugu yangu mwenye umri wa miaka 19 anatatizo la kuwa na Kitovu kikubwa, akaulizia kwenye maduka ya madawa asili akaambiwa dawa yake itakuwepo ila akaulizie jina la hiyo dawa kwa wataalam wa dawa za asili. Kama kuna mtu anajua jina la hiyo dawa ya kurudisha Kitovu ndani naomba anitajie.
  11. Roger Ramer

    Natafuta chuo kizuri kinachosifika kwenye kutoa mafunzo ya nursing kilichopo Dar

    Habar wapendwa wana JF, natafuta chuo kizuri kinachosifika kwenye kutoa mafunzo ya nursing level ya certificate kilichopo Dar Es Salaam naombeni mnitajie .
  12. Roger Ramer

    Chunusi: Chanzo, tiba na jinsi ya kuepukana nazo

    Baadhi ya watu huamini hamna tiba ya chunusi ila dawa huzipunguza tu. Je ulisha wahi kuwa na chunusi zikaisha kabisa? Tuambie ulifanyaje tufaidike pamoja.
  13. Roger Ramer

    Kuyafanya Meno Yenye Rangi Kuwa Meupe (Teeth Whitening)

    Naomba nkuulize. Kwa nnavyo fahamu fluoride compound ndiyo inayosafisha meno ingawa ina side effects. Sasa kama hiyo dawa haina fluoride inasafisha kweli?
  14. Roger Ramer

    Kuyafanya Meno Yenye Rangi Kuwa Meupe (Teeth Whitening)

    Poa. Aaah.. I think is a crazy qn but anakupigisha mswaki au anakusafishaje !!?
  15. Roger Ramer

    Kuyafanya Meno Yenye Rangi Kuwa Meupe (Teeth Whitening)

    Cjawahi kwenda kusafisha meno kwa daktari wa meno kama ww umewahi je inagharimu bei gan?
  16. Roger Ramer

    Kuyafanya Meno Yenye Rangi Kuwa Meupe (Teeth Whitening)

    Dawa za meno zina kemikali aina ya fluoride ambazo huweza kuozesha viungo ndani ya mwili baada ya muda fulani nmesahau specifically ni vipi (fuatilia uvijue) hivyo si vizuri kuacha kusukutua dawa maana italeta madhara baadae itakapo ingia mwilini.
  17. Roger Ramer

    Kuyafanya Meno Yenye Rangi Kuwa Meupe (Teeth Whitening)

    Uchunguzi unaonesha asilimia kubwa ya watanzania meno yetu hayang'ai sana lakini wapo wachache meno yao ni meupe sana. Jiangalie mwenyewe na uniambie upo kwenye kundi gani? Kisha niambie je unaamini ni asili tu ya meno kutokua na weupe unaon'gaa au kama sio nini tufanye ili kun'garisha meno...
Back
Top Bottom