Wanajf mwezi January nilianza period tarehe 7,February tar 4 na march hii nimeanza leo tarehe 3 naomba msaada ni tarehe zipi naweza kupata mimba maana niko mbali na mume wangu tunataka tupate mtoto nataka aje cku za hatari ili mimba ipatikane.Naomba kuwasilisha.
Unanikumbusha pale mafinga seminari kijiji cha jirani mji mwema kuna mama alikuwa anatuuzia ulanzi anatupikia na mboga msampuo mixer mkalifya na majani ya maboga na pilipili nyingi duuuh ulanzi pombe bora sana jamani
Jamani nilikuwa nafanya usajili NACTE lakini nikifika sehemu ya kujaza mwaka niliomaliza form four mwaka haukubali.
Nilimaliza mwaka 2006, naomba msaada wenu tatzo nini au tuliomaliza kabla ya 2011 hatutakiwi kuomba?
Wanajf,nimemaliza kidato cha nne mwaka 2006 na kufaulu vzuri daraja la kwanza point 17 masomo ya sayansi nikafaulu vzuri pia bios A,chem B,physics C na math C lakini kwa kutokujua advance nikaenda mchepuo wa arts nikafaulu vzuri pia nikaenda chuo kikuu nikasoma BBA lakini toka nimalize mambo...
Yule mjane wa magufuli wa mirathi yake huko Tanga nimemuona Lumumba pale amekaa na jopo la mawakili wanataraji kukata rufaa dhidi maamuzi ya mahakama ambayo imetupilia mbali Kesi yake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.