Hujaja kuokoa watu wewe, sema umekuja kutafuta watu wakuchangie hela ya kubeti.
Nime join hilo group unatangaza kuwa lazima mtu atoe 15,000 ndio aungwe kwenye group la hizo Tips.
Weka kila kitu wazi hapa
Unaongea udyelyelya kufurahisha genge.
Mchumba wangu nimemfungua utando mwenyewe kwa kutumia mkuyenge wangu mwezi March mwaka huu.
Sasa sijui unataka ninase mara ngapi???
Au unamaanisha niachane nae halafu nianze kutafuta mwingine...
Kama hujui kitu kaa kimya.
Kule Mbudya ni beach kama zilivo beach zingine. Watu wanaenda kupunga upepo, kuogelea, kucheza mpira wa mchangani.
Sasa hapo Shetani anaingiaje.
Wewe Rama Q acha uboya wewe.
Angekua ameshika dini vilivyo asingekubali kuvuliwa chupi na kuzini kama haitoshi hadi anazalishwa.
Hapo hakuna mshika dini.
Nawapongeza sana wajomba kwa msimamo thabiti.
Haiwezekani Mwanamke wa Kiislamu akaolewa na janaume Kafiri. Hiyo haipo.
Alipokuja huko South ulimlazimisha kuzini??
Blaza, lakin mbona nakuona unauza viwanja, unanunua magari, unauza magari.
Halafu unakosa 1.5 Million ya kuweka umeme????
Kuna kiwanja chako umekiuza 6.5M kabisa juzi juzi.
In reality hiyo haiwezekani. Acha kujaza forum kwa kushabikia ujinga.
Most of men huvaa boxer moja kuanzia siku mbili (minimum).
Mimi binafsi navaa boxer kati ya siku 2 mpaka 3.
This news reminds me 2012 June 21 nilipobwaga manyanga na kuachana kabisa na Upadri.
Miezi miwili baadae (August) nikatambua dini ya haki isiyo na shaka ndani yake.
Allahu Akbar.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.