Hivi mtu akifatiliwa ndio anaweza kutaka kukuua? Tuweke akiba ya maneno
Mkono wa serikali za duniani ukiingia hauachi alama za kijambazi..kuna kitu zaidi ya kile tunachokiona..wahusika mfanye kazi zenu.....hata kuuawa kwa yule mzungu wa pembe za ndovu...Tuiombe serikali iwakamate ,pia matukio...
Mie nipo vizuri Finance ninanajua kuwa wapo speculators hasa nchi za nje.ila kweli Tanzania hii unaweza kufanya biasahra hiyo wakati kuna kama ka restriction kwenye mtu kuingia kununua stocks nje?? Najua yangu hii ni stock markets na wewe unasemea money markets...tell me more yaani umenifanya...
Ukikopa dhamana yako ni nini,serikalini ukikopa ujue mshahara ni wao,wewe ukisepa unakuja kujikuta wanaidaka pesion yako ila with miaka miiiingi interest kubwa. Biashara ni ngumu mno la msingi omba kazi sekta binafsi ya ofsi unayotaka kufanya.Mfn ukifanya kazi benki unaweza kufungua...
Nafasi hizo sikuwahi kuzipenda uoga hasa nikiona sinema za 007 James bond zile daah,zamani zile jkt miaka ile waliomba watu tuende cadet, wengine walienda,among them wapo ambao ni Tiss sasa,chanel nyingi uanze kuingia via majeshi kawaida wanapotangaza then utaomba humohumo,watakuwa wamejiridhisha
Kwa muda Fulani tu.....hadi uchaguzi upya,na sidhani kama wananchi walimchagua huyo ila walimchagua Magu kwa kuwa walimtumaini na kumtangaza.Yeye ndio kaweka dira.Misimamo na uthabiti wa serikali hii ni mwenyewe Magu zaidi
Ulinzi wa Rais haupangwi na yeye,kauli na majipu anayotumbua,makaburi anayofukua ndio yanayowaweka wakuu wa vyombo kuona apewe ulinzi huo ambao ni mkubwa tofauti na waliotangulia ila kulinganisha na Duniani sie ni cha mtoto.Mfn. Obama alipokuja kulikuwa na gari inayotuscan wote tuliojirani na...
Mbona
umequote upuuzi waandishi hujui kuwa huandikwa kwa kupewa taarifa na mtoa taarifa kwa madhumuni Fulani?? Tanzania tupo juu sana nakubali ndio maana tuna majeshi congo na wamenyooka sana M26 kule.taarifa za idadi na aina huwa ni siri
TUMPE SAPOTI JAMANI KAMA KWELI UNATAKA TUNYOOSHE NA MAMBO YOTE YAWE SAWA NCHINI KWETU
SAPOTI NI KUMSIFIA SANA RAIS TUSICHUKUE MAPUNGUFU MADOGO KUWA NI ISHU.
HUYU UZALENDO WAKE NA ALIOFANYA ANAWEZA,MSAPOTI HATA WATU WA UPINZANI
UJUE MZIKI MZITO,HILI HALINA UCHAMA UNAWEZA KUKUTA MTU FAULANI WA...
kuporomoka kwa soko la hisa leo inategemea nani ni key players wa soko hilo na kwanini hawaendei kule kupata fedha au kipo chanzo kingine cha kupata fedha.Hii hali ni ya muda mfupi sana ndio maana taarifa za habari kimataifa hutoa taarifa za matokeo ya soko la hisa kila saa,kuna a lot of...
kuna instuments zinazotumika katika kuhakikisha serikali haikosi fedha,ikiwa ni pamoja na mauzo ya tressury bills,bonds nk,yenyewe ndio inayopanga ni kiasigani inunue na inunue kwa sh ngapi hao wawekezaji wapo wengi ila huweka nao masharti yao pia,,kwenye soko la kukopa ndani hio ndio istument...
Usiweke guarantee kupata jibu la nia ovu ya wauaji kwa statement moja tu...kuna a lot of dots za kuunga ili mtu mwenye akili apate idea kamili..Mh mrema alisema vizuri Strengtherning intelligence zaidi.
Swali zito ni hizo silaha wanazitoa wapi??
hiyo labda zamani sio kwa huyu bb Jesca,huyu keshawa weka kina Kitillya na yule mrembo iwe hawa? wewe hii ni awamu ya tano....kaa vizuri uangalie hadi mwisho.Watanzania wanajiita wanasheria utasikia wanachukua tenda ya kuwatetea hao mafisadi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.