Search results

  1. N

    Msajili awaita Lipumba na Seif

    Watasema Si uchochezi!
  2. N

    Dr. Mwakyembe: Sikumhoji Lowassa kwa sababu ushahidi dhidi yake ulikuwa unajitosheleza!

    Pesa za mshahara Na marupurupu mengine ukiwemo ulinzi,matibabu n.k Siyo vya taifa?
  3. N

    Watatu wauawa daraja la Mkapa, walikataa amri ya polisi iliyowataka wasimame

    Mpaka wanauwawa maana yake uwezo wa kuwakamata ulishindikana!Tii sheria pasina shuruti.
  4. N

    Jiwe la Msingi la reli mpya ya SGR Dar-Moro kuwekwa tarehe 12 Aprili 2017 na Rais John Magufuli

    Nilipo ona jina lake tuu,nikajua hakuna habari! Watanzania tabia ya kujikomba Na unafiki itakwisha lini?
  5. N

    Haijapata kutokea, licha ya majigambo ya ukusanyaji ni 34% tu ya fedha za maendeleo ndo zimepatikana

    Ndiyo lugha walizo kariri,hawana misamiati mingine zaidi ya UKAWA huyo,BAVICHA,huyo,Si ndiyo wale WACHOCHEZI basi!
  6. N

    Sakata la Roma linavyofanana na la Ulimboka

    Hicho ndicho kinacho nishangaza!!
  7. N

    Nape Nnauye: Sakata la Roma ni picha la Kichina

    Tutaishi kwa Amani zaidi kama wana CCM tutakuwa wakweli kwa manufaa ya nchi yetu nimewapenda!
  8. N

    Farao asiyemjua Yusufu kaja

    Nsfikiri bado wewe!!
  9. N

    Farao asiyemjua Yusufu kaja

    Walio funguka macho mapema waliamua kukaa pembeni Kama si kukihama hicho Chama! Mkawabeza na kuwadhalilisha kwa maneno ya kejeli,sasa mmeyaona wenyewe!! Hiki Si kile Chama kilichokuwa na upendo na Amani enzi hizo.Tulikuwa tunapita kifua mbele mbele Kama chipukizi au Umoja wa vijana wa CCM...
  10. N

    Nape is Now a Larger Than Life Celebrity Leader

    Shangiliwa wewe basi japo na robo ya watu wale tuone! Kama unadhani Ni rahisi!
  11. N

    Peter Msigwa: Mheshimiwa Rais hajui maana ya uzalendo

    Ingekuwa busara kuu Kama angefoka kwa Ma-DC kwa kutodhibiti ugomvi wa Wakulima na Wafugaji ilivyombo vya habari visipate habari hizo! Kuliko kuonesha hasira kwa vyombo vinavyo kujulisha ukweli wa mambo upande fulani wa Jamhuri!
  12. N

    Peter Msigwa: Mheshimiwa Rais hajui maana ya uzalendo

    Pamoja na ukweli huo watajitokeza wapambe kuupinga!
  13. N

    Makonda haya maisha yana mwisho utashuka utatukuta

    Jiepushe na uzuzu,Kipi rahisi kutengeneza video na kuandika? Kama aliweza kutengeneza video na kufanya hayo yanayo semwa,ni kipi kitakacho tufanya tusiamini kuwa Si yeye aliyea toa masndiko yale?
  14. N

    Ridhiwani: Tumeishi na RC Makonda vizuri ila kutajwa kwenye madawa, kama familia tunamwachia Mungu

    Lumumba mambo mengine muwe na soni!Mpaka yeye anasema hivyo,yeye Si "chizi"Kwahiyo unataka kusema anampakazia mwenzie?
  15. N

    Wabunge 10 wa CCM kesho wana ziara ya kuitembelea Clouds Media

    Wafunga gidamu za bosi utawajua fuu!
  16. N

    Utafiti wa Nape 24HRS, Ingekuwa tafiti tulizozoea zingepewa Infinity TIMEFRAME

    Hilo ndilo tunalotarajia wengi,tulio fundishwa uwajibikaji!
  17. N

    Kuhusu TLS: Itabidi Tundu Lissu ajiuzulu

    Jifunze kutoudhi watu,wengine si wavumilivu Kama unavyo fikiri! Hii nchi watu tumechoshwa na ubabe na unafiki pia!
  18. N

    Kuhusu TLS: Itabidi Tundu Lissu ajiuzulu

    Hivi wewe,UNAJIMU umeanza lini au umejifunzia wapi?
Back
Top Bottom