Walio funguka macho mapema waliamua kukaa pembeni Kama si kukihama hicho Chama! Mkawabeza na kuwadhalilisha kwa maneno ya kejeli,sasa mmeyaona wenyewe!!
Hiki Si kile Chama kilichokuwa na upendo na Amani enzi hizo.Tulikuwa tunapita kifua mbele mbele Kama chipukizi au Umoja wa vijana wa CCM...
Ingekuwa busara kuu Kama angefoka kwa Ma-DC kwa kutodhibiti ugomvi wa Wakulima na Wafugaji ilivyombo vya habari visipate habari hizo! Kuliko kuonesha hasira kwa vyombo vinavyo kujulisha ukweli wa mambo upande fulani wa Jamhuri!
Jiepushe na uzuzu,Kipi rahisi kutengeneza video na kuandika?
Kama aliweza kutengeneza video na kufanya hayo yanayo semwa,ni kipi kitakacho tufanya tusiamini kuwa Si yeye aliyea toa masndiko yale?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.