Tuanze wapi kwani ni muda sasa mwajiri wetu ajatupa mshahara. tunaomba ushauri wenu ili kujua wapi pa kuanzia. nikiacha kazi natakiwakulipwa ndani ya muda gani? msaada jamani
Nimesikitika sana na sasa hiki chombo cha NSSF kitakuwa kimya mpaka lini kwani kuna baadhi ya watu wameingia na kusema kuwa wameacha kazi na hali bado ni wafanya kazi na wanapewa mafao yao. fatilieni katika haya makampuni mtaona na kugundua hiki hapa kwetu kuna watu wameleta maombi yao kupew...
salamu kwenu JF
Huu ni ushindi mkubwa sana kwa chadema kwani kushinda kata sita kati ya kata ambazo zilikuwa zinagombewa ni ushindi. angalia
Chadema ilikuwa inagombea kata tano ambazo ilikuwa imeshinda katika uchaguzi mkuu 2010. sasa katika kata hizo tano zipo pia kata za...
Ndugu zangu watanzania mimi ni Mtanzania mwenzenu na ninauchungu sana na nchi yangu ila viongozi wetu wanatuangusha sana kwa sasa. Embu angalia mambo mbali mbali yanavyoendesha hapa nchini na michezo mbali mbali ya kitoto tunachezewa bila kujua kweli kazi ni kubwa sana.
1. Swala la madaktari -...
Inabidi kuitisha maandamano kwa wafanyakazi wote kupinga hili na hili linawezekana liko ndani ya uwezo wetu kwani lazima lifutwe. watanzania hili linawezekana kwani nani hatatupiga mabomu hakuna kwanza.
a) Polisi wote hili liko kwao pia mpaka miaka 55-60 polisi gani anakubali.
b) Wafanya...
Kuna dada mmoja alikuwa anapenda sana wanaume siku moja kakutana na jamaa mmoja akasema anataka kumuoa. ila jamaa anajua nyendo zote za yule demu alikuwa anamtega tu. yuledada akakubali wakaenda kupima wakakuta wote wazima yule kaka akaanza kuomba mzigo kwani si tayari wachumba yule dada akampa...
Mimi nina matatizo yameanza kama miezi sita hivi sasa na nimekuwa nashindwa kuelewa nini tatizo hasa. Kila ninapokula chakula huwa nasikia hali ya kutapika kama kichefuchefu hasa ninapo kutana na mafuta flani sija jua nini hasa tatizo. naomba mnisaidie nini kina nisumbua mara nikiacha hicho...
Mimi ni muajiriwa katika kampuni fulani hapa mjini. nilipewa mkataba wa miaka minne, ambayo mpaka sasa nimeshatumikia mwaka mmoja na nusu. wanasema kuwa kutokana na matatizo ya fedha wanataka kupunguza watu. je katika kupunguza wanalipa ila kwa sasa hawana fedha hivyo muende mpaka watakapo pata...
Hivi hii nchi ni nani alituloga? Najaribu kuufikirisha ubongo wangu nashindwa kuelewa kweli tarehe 9 disemba tunasheherekea miaka 50 ya uhuru wa Tanganyika jamni lakini tuko pale pale.
kwa mfano
1. Shule watu bado mapaka leo miaka 50 tunashindwa kuweka kila shule madawati...
Mtoto alikuwa anamadidhia baba yake. baba john uwa ananiambia nivue nguo na yeye anavua kisha anaingiza mdudu wake kwangu.baba kusikia hivyo akafoka shenzi USHATOBWA WEWE DU!
Jana nilishangaa sana kwa wabunge wa CUF na CCM wakimshambulia Tundu Lisu kwa matusi na kejeli nyingi.
Naomba watanzania wote tuungane tu jadili kwa kina swala hili na sio kukurupuka tu na kujifanya sisi ndio wajuaji sana katika huu muungano.
1. Tujiulize mengi je katika huu muungano kuna...
Dada moja bwana alikuwa anajifanya anajua kuchukua waume wa watu. dada si akaingia kwa jamaa mmoja, wakawa wanapika na kupakua dada fulu kujiachia. akawa anatangaza sasa kwa marafiki zake kuwa kapata mshefa anampa matumizi ya kufa mtu. kati ya wale marafiki zake kuna mmoja alikuwa anamfahamu...
Msomi mmoja alikutana na mvuvi moja katika chombo yaani mtumbwi walikuwa wakivuka kuelekea ngambo ya pili. Yule msomi akamwambia yule mvuvi ndugu yangu wewe umesoma? yule mvuvi akamwambia duu! umepoteza asilimia 20% katika maisha yako. akamuuliza una tv kwako akasema hapana umepoteza...
Msomi mmoja alikutana na mvuvi moja katika chombo yaani mtumbwi walikuwa wakivuka kuelekea ngambo ya pili. Yule msomi akamwambia yule mvuvi ndugu yangu wewe umesoma? yule mvuvi akamwambia duu! umepoteza asilimia 20% katika maisha yako. akamuuliza una tv kwako akasema hapana umepoteza asilimia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.