Duh! hata kufurahi siku yake ya harusi ni kosa! Kweli huyu mwanamke anashida sana! Ni wapi sasa anapotakiwa kufurahia ikiwa hata kufurahi siku ya harusi yake wengine wanaona ni ajabu!
Tumia kinga ndugu yangu wakati mwingine hii kitu si ya kuamini sana hubadilika mwezi hadi mwezi, kwa hiyo usimlalamikie mwenzio. Mkae chini muongee njia gani mbadala mtumie, kwani hata ulivyoiandika hapa unalaumu kwa swala ambalo wakati mwingine liko nje ya uwezo wake. Ukimpenda utamjali...
Khaaaa! msamehe mwenzako jamani..nahisi alikuwa anaongea kama story nyingine mlizokuwa mnaongea na sidhahani kama aliongea akijua atakukwaza...! Samehe bwana shemeji
umesahau adui wa mwanamke ni mwanamke mwenyewe!!!! lakini yote hii inatokana na wivu na kutojiamini kuwa tunaweza kusaidia watu wote pasipo kuangalia jinsia yao.
heheheeee mie wa namkumbuka wa kwangu nilikuwa darasa la 3 nilihamia shule hiyo aliyekuwa anasoma yeye na cha kuchekesha zaidi alikuwa ni monitor wa darasa basi mie nilikuwa siandikwi jina darasani na mtu yeyote akiniletea ujuaji darasani akaona lazima badae aandikwe msumbufu! mtoto nilikuwa...
ni ngumu sana kusema ukimbie ukweli japo ndivyo inavyotakiwa kuwa na wengi watakushauri upotezee but when it comes to reality its HARD! lakini ndo hivyo inabidi kujikaza kupotezea msije mkaumiza na wengine ambao watakuwa wanahusika kwa njia moja au nyingine..mapenzi upofu!
mimi hapo kaka sioni shida , cha kufanya kama na wewe unampenda lakini jenga nae kwanza mazoea kama rafiki kwanza ukiwa unamsoma tabia halafu baadae ndo muendelee kwenye nyanja nyingine kama ukiona mwaendana. Kila la kheri kaka yangu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.