Nakubaliana na wewe mkuu Ila kwa kuongozea iko hivi muda mwingine haijalishi hata ukitumia VPN mtu anaweza kukutrack itategemea na aina ya VPN unayotumia iwapo utatumia VPN ambayo Ina save logs unapatikan vizuri Tena bila shida hii elimu ya VPN watu wengi hawaifahamu inabidi waielimishwe Mara...
Hakunaga kitu Cha bure katika internet iko hivi unapata internet bure Ila info. Zako Zina chukuliwa kwa ajili ya matumizi mengine ambayo ukiiingia darkweb vitu Kam ivyo vinauzwa kitendo Cha ku connect kwenye server it means una alllow permanent backdoor kuwa installed mfano advanced keylogger...
Huyu jamaa Ni kipajii aisee nimeangalia game zake Ni Moto anatembeza vichapo [emoji23][emoji23] Atari sasa kila nikiingia playok naenda kuangalia mechi zake tu...! Ashkelon Ni bingwa lakini anatembezewa motoo
allypipi a.k.a pipi kifua uko wapi au bado unalilia chumbani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dunia nzima ipo katika maombolezoo
Nyumbu amekamatwa na majangili wamemchoma mishikaki[emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna tofauti kubwa Sana Kati ya squid game na money heist.! Squid imegusa sana hisia/maisha yetu tunayoishi wameonesha nguvu halisi ya pesa kitu ambacho kwenye money heist hakipo na pia money heist Ile Ni plan kitu wanachokifanya ni utekelezaji tu kwa hiyo msije mkalinganisha kitu ambacho...
Nimesikiliza bunge lakini sijaona mahali ambapo wamejibu hoja za gwajima..! Bado tuna safari ndefuu
Tukutane jumapili kanisani kwa mwendelezo wa movie yetu!
Tunashukuru kwa maboresho mkuu Ila
1. Ni lazima mtu utumie Google chrome at least ianzie version gani?
2. Vipi kuhusu watumiaji wa opera Mimi,Uc broswer, brave broswer n.k?
Nakumbuka zamani wakati Niko kijijni tulikuwa tumeenda kuvuna asali poroni kwa bahati mbaya Babu yangu aling'atwa na nyoka aina ya kifutu ndani ya dakika tano mguu ulibadirika na kuanza kuwa mweusi kiukweli dawa zipo mjomba yangu alikimbia Kuchuma majani Fulani mimeyasahau kwa jina Ila nikiyaona...
Chief's..! Hata katika dini zote tumeambiwa tutafute hata katika biblia unayosoma wameandika kabisa watu wangu wanapotea kwa kukosa maarifa mfano huwezi kujua dini Fulani ina Mila na desturi potofu mpaka uisome ile dini ndio uweze kujua mahali ambapo hakuko sawa..! Naamini katika mungu na dini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.