Naomba kama kuna wenye uzoefu wa kutuma gari kutoka USA kwenda Dar wanisaidie ni kampuni ipi au zipi ni nzuri hasa kuzingatia gharama. Je, ni bora kununua gari Japan kuliko kutuma gari unayotumia USA?
Wapendwa wanajamvi, ninaomba Kama kuna mwenye kujua kampuni huko Uarabuni za kuuza magari yaliyotumika. Ninatafuta used landcruiser ambulance. Ningependa kufanya biashara na kampuni zinazoaminika. Asanteni sana.
Baada ya kutafakari kwa muda mrefu ile hotuba ya JK aliyosema kuwa madai ya madakitari na walimu hayatekelezeki kwa sababu serikali haina uwezo imenilazimu leo niulize:
Je, huu ni uungwana kwa mheshimiwa kukaa kimya baada ya kujulikana kuwa kuna bilioni 300 za mafisadi kule Uswisi?
Je...
Ndugu wana JF,
Ninajua kuna maswala mengi ambayo yako mbele yetu kwa ajili ya kuyajadili na kutafutia ufumbuzi. Lakini nimesikitishwa sana na list ambayo nimeona kwenye website ya wizara ya afya inayoonyoshe majina ya postgraduate students ambao watakuwa sponsored na wizara ya afya. List...
Mimi ninaitwa Olecranon mtoto wa mzee Olecranon Fossa (sr). Nimekuwa ninafuatilia majadiliano katika forum hii na kuvutiwa sana na jinsi wengi wenu mnatoa michango mizuri hasa kuhusu hali ya taifa letu. Hivyo nimeona na mimi nijiunge ili niweze kupata fursa ya kuchangia mawazo yangu. Idumu JF forum
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.