mkuu mm ndo nimeiona leo thread aisee naomba nisiadie connection ya hao suppliers au machimbo ya china nina uhitaji sana mkuu plzzzz
haswa simu, tv na electronics mbali mbali, mikoba, printers na viatu vya kike
namba yangu ni 0769939879
ndyoo unaweza kuanzisha ila angalau kodi ya pango ijitegemee kabisa icwe ndan ya hyo 15mil maana kwny maandalizi ya pharmacy premices kuna peleke hela nying sana
kwa 15mil yes unaweza kuanza mkuu
Husika na kichwa cha habari,
mimi ni mfamasia niliehitimisha mafunzo ya utarajali katika hospitali mbili tofauti hspa nchini Tanzania yaan Muhimbili National Hospital-Mloganzila pamoja na Ocean Road Cancer Institute zote zikiwa Dar es salaam.
Nasubiri Leseni yangu ya taaluma ambayo inaweza...
Asante sana.kwa walionielewa 350k.means nataka.ikiwa used tena nikasema brand yoyote,wakuu najua 43" huwez enda dukan upate natafuta used na watu wapo wanaouza japo kwa changamoto ama anataka ku upgrade hvyo yan.ila kwa 32 brand yoyote ila hapa ntatoa 220k icwe na shida yoyote but used
As.processional
Sorry kma.ntakukwaza broo but napebda kujua ulishawahi kujiuliza kuwa hyoo professional yako ya Pharmaceutical engineering ina direct link na pharmacy profession ambayo iko chin ya pharmacy Council bro?????
Mm nakushauri kma pharmacist
AnZa hiv fika ofis za pharmacy Council...
NIMEPANDISHA DAU WAKUU NATAFUTA TV FLAT LED TV NCHI 43 BEI YANGU NI 380K IKIWA SMART TV DAU LANGU NI 450K CASH (SMART INATEGEMEA BRAND DAU LINAWEZA KUPANDA)
NAMBA YANGU NI 0769939879
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.