Search results

  1. A

    Je, Mungu kaumba baadhi ya wanadamu kwa upendeleo wa akili na maarifa?

    Tukiacha roho mbaya,ubaguzi wa wenyewe kwa wenyewe na pia kwa wageni, kukubali kukosolewa na kujifunza,kuacha kujiona niwabora kuliko wengine, kutumia wingi wetu wa makabila na lugha zetu kama utambulisho na si ubora,kuacha kulalamika kila wakati, kujituma na kujiamini hivyo vita tuondoa hapa...
  2. A

    Huu ni ugonjwa gani??

    Hio ni minyoo mtatie dawa haraka.
  3. A

    Kwa nini bei ya petrol ipo juu katikati ya jiji la dar kuliko pembezoni.

    Thamani ya eneo ,mfano ,kodi yaeneo la biashara kama petrol station mjini ni 20million kwa mwezi lakini eneo kama hilo nnje ya mji ni 2 milion . Hio ndio husababisha bei kua kubwa . Na thamani hupanda kutokana uwepo wa wateja,kwamaana nyengine mjini wateja ni wengi kulinganisha na nnje ya mji.
  4. A

    Teknolojia gani niitumie nipate taarifa za habari za Radio BBC na DW kuanzia mwaka 1970 hadi 1980?

    Mtafute huyu mtu Mohamed Khaleif kwenye facebook atakusaidia, yeye anafanya kazi huko . Ni mzanzibari.
  5. A

    Nifanyeje maji yatoke sikioni?

    Ingiza maji ya uvuguvugu kwenye sikio lililoziba, Geuza shingo upande wa pili ili sikio lililo na maji lielekee juu kwa dakika kama mbili hivi, Baadae gandamiza kiganja cha mkono kwenyesikio lenyemaji ,inamisha chini sikio lenye maji huku ukiwa umeliziba kwa kiganja ili maji yasitoke. Ondoa kwa...
  6. A

    Wana Diaspora tukutane hapa

    Mkuu mawazo yako yanawakilisha wanadispora wote wa Tanzania. na kama wanadipora wengetakiwa kujieleza mmoja mmoja basi wengi watakua ni kama wewe wanazi penda nchi zao za pili kwa sababu ya heshima wanayopata kuliko wakiwa katika nchi zao walizozaliwa. Na naamini serekali ikiyachukua na...
  7. A

    Quran na uislam zilipishana wapi na kwanini??

    Mimi si mjuzi saana ila nitakujibu kwa hichi nitakacho jaaliwa. Kwanza nianze na msemo Huu MTI WENYEMATUNDA NDIO ULENGWAO. Uislam ndio ulovuma na ndio unaopigwa vita zaidi duniani, kwahio mtu yoyote akiwa na jina la kiislam ataitwa muislam hasa akifanya maovu. lakini kiukweli uislam hauko...
  8. A

    Njoo tufanye Mabadirishano ya IPHONE

    Mkuu usipate shida ni kujiungana na iclaud tu na detail zako zitabakia siku zote na ni salama zaidi hata ukibadilisha simu nyengine hazitapotea au simu kuibowa .
  9. A

    Zanzibar wamepewa mwezi mmoja kulipa deni vinginevyo kiza kutanda Unguja na Pemba

    Na mimi napogia msumari maneno ya walionitangulia. Hata hawa Magufuli na nguvu zao wawepo kumi juu ya kile kiti cha Urais basi hakuna mwenye uthubutu wa kuwakatia umeme Zanzibar.
  10. A

    Wafanyabiashara kutoka Tanzania kufuata mizigo ya bei nafuu Uganda, imekaaje?

    Mkuu iangalie tena hesabu yako,haiwezekani dola moja ikawa 2400 kwa Uganda na Tz ikawa 2400 Wakati huo huo 5000 ya UG ikawa sawa na 3500tz.
  11. A

    Katazo la kuondoa taa zenye mwanga mkali kwenye magari limeathiri biashara zetu kwa tunaouza

    Sasa wasimamizi wa sheria wako wapi? Kama ulivyothibitisha taa sio tatizo,kwasababu yapo maeneo matumizi ya taa hizo yanafaa, kwanini wasimamizi wasifanyekazi zao,badala ya kuzikataza taa kabisa. Viongozi wetu hawana busara katika kutatua matatizo.
  12. A

    Anahitajika mnunuzi wa jumla wa vifaa vya Solar toka Ujerumani

    Samahani mimi si mnunuzi wa jumla ila nitahitaji set ya 10 kW kwa baadae kidogo.
  13. A

    Anahitajika mnunuzi wa jumla wa vifaa vya Solar toka Ujerumani

    Nipatie bei ya betri 125 *4 na panel 4 za 250w(mono) Kama unazo nitajie na majina ya ilotengeneza au kabila. Nitatoa oda nyengine baada ya kujua bei.
  14. A

    SWALI: Huu ni ugonjwa gani wa kuku kwa dalili hizi ?

    Hii ni Mareks,kama alivyoeleza mchangiaji mmoja hapojuu, ugonjwa hauna tiba una kinga tu. (Chanjo ya mareks inatolewa kuku akiwa na umri wa siku moja.)
  15. A

    USHUHUDA: Kuku wa kienyeji (Pure) - Biashara kichaa isiyo na tija

    Mkuu kwanza nikupingeze kwa makala yako nzuri. Ila mimi niko katika kufanya utafiti na hawa kuku wa kienyeji na nimechagua kuku 7Majike na jogoo mmoja. Nimefanikiwa kwa mwezi wa nne sasa kupata mayai 5 kila siku yakishuka ni 4 kuku hupunzika kidogo na kuendelea siwalazishii naweka mayai kwenye...
  16. A

    Ushahidi wa Kauli ya Marehemu Jumbe Kufitiniwa na Maalim Seif; Mahojiano na Gazeti la Mtanzania 2002

    Uandishi uliotumia hapo hauonyeshi kua ni maneno ya Mh Jumbe kua Maalim Seif ndio Msaliti. Kama wewe hukuongeza yakwako basi Muandishi Hajui kuandika na kutumia alama za maandishi. ".......,........"
  17. A

    Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji na Masoko yake

    Kiasi wiki mbili hadi tatu kama atakula vizuri.
Back
Top Bottom