Mkuu Pota. Nimeipenda avatar yako na kauli yako ya kama mume wa salama kondo...... (salma). Siyo siri. Hawa jamaa wa CWT wanaudhi kweli. Wapuuzi wakubwa. Vitisho vingi lkn wapi masikini ya Mungu. Aibu kubwa kwa walimu. Ushauri wa Gobret ni wa mbolea. Fanyeni mgomo mpate haki au kama hamuwezi...
Watz. huwajui vizuri. Baadhi yao ni kama kondoo wa Maasai. Hawaoni mbele wala nyuma. KAzi yao kutia tick kwenye kisanduku cha CCM wakati wa kupiga kura. Mabadiliko ya kweli huanza na mtu mhusika. Usitegemee mabadiliko kama tunataka yaanze kwa wengine.
Kuna sumu nyingi pandikizi za CCM. Na sasa...
Naomba kutumia nafasi hii, kuwasihini wapiganaji wote wa CHADEMA kuwa wasidhani kuwa kukubalika kwa CHADEMA kwa Watanzania wote (makundi na rika zote) ni jambo rahisi. Wazidi kujitangaza kwa njia hii ya maandamano. Japo, kwa wapinga maendeleo watadhani ni kupoteza muda bali mimi naamini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.