Dr . David mathayo yeye anahusika moja kwa moja katika kudhoofisha maendeleo wilaya ya same.
Huwezi kuwa mbunge na kujikita zaidi kuendeleza kampuni yako ya ujenzi na kukodisha vifaa vya ujenzi na kusahau jimbo lako namna hii. Kwanini tunasema anahusika moja kwa moja na hatufai same:
-shule...
Wadau naomba mnisaidie, nimememaliza chuo kikuu lakini wanakataa kunipa cheti changu kwasababu -nimepoteza vyeti vya kidato cha nne na cha sita.
Je ni tumie njia gani ili Chuo kikuu cha Dar es Salaam kinipe cheti changu? Je kuna njia yoyote ya kisheria ninaweza kuitumia kuwabana ili niweze...
Viongozi wasio kwenye makundi yeyote, wachapa kazi na wenye uchungu wa nchi ndio wanaweza kutufaa mwaka 2015 kutuongoza.
Kiongozi kama Lazaro Nyalandu- naibu waziri wa viwanda na biashara anasifa na anafaa kuongoza nchi akigombea kwa chama chochote atapeta na hana mpizani...!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.