Niipanda ukuta taifa nje hakukuwa na askari, wakati wa kuingia sasa nimetanguliza miguu kumbe chini kuna askari the rest ilikuwa story nzuri sana! Nilikuwa mkimbiaji mzuri sana, nafikiri yule askari tukikutana leo atajua aliyemuona siku ile hakuwa binadamu maana nilitimua mbio zisizo za kawaida...
Ni kweli ukiangalia ile simulation yake kinakata kona na kurudi baharini na njia ya kurudi ni Mtwara although hakitakuwa na nguvu kama wakati kinaingia nchi kavu
Wananchi wa Tanzania tumekuwa na mazoea mabaya kila kitu tunafanyia utani hata vile ambavyo ni serious, hii sio JF ya zamani wakati watu walikuwa wanaungana kwenye serious issues kama hii nakuwa kitu kimoja
Mkuu kuna vitu vya kufanyia mzaa lakini wakati wenzio wanaumia wewe unafanya mzaa nafikiri kibinadamu sio sahihi, wakati mwingine tunahitaji kuwa serious na serious issues sio kila kitu ni utani
Kuna mmoja amenitumia sms kuwa nikitaka kujiunga na Freemanson nimpigie, nampigia apokei nataka nitampeli yeye
Niliwahi fanikiwa mmoja alipostuka akaomba nifanye nae kazi
Mkuu hivi unafikiri wanachana wa CCM hawana haki ndani ya nchi hii? ebu tuwe wakweli, nchi ya watu wote na sio ya wapinzani peke yao. Wakati mwingine sentiment ni mbaya kuingiza kwenye issue za kitaifa
Pasco yuko sahihi, Ruge alikuwa muhimu sana kwenye siasa za Tanzania, ameshape vijana wengi kuweza kushiriki kwenye siasa wakiwa wamependa wenyewe au hawajapenda
Wale wa vyama vya upinzani tujifunze kitu kimoja haina maana kila aliyeko CCM hawapendi Watanzania, kumbuka CCM pia ina Watanzania...
Hapa ndio mtaona umuhimu wa kupoitia upya mitaala ya elimu zetu, kama graduate analalamika kazi hakuna, wa darasa la saba atafanyaje? Mitaala inatakiwa iwajenge graduate ili wakimaliza wajiajili na waajili darasa la saba! Ni wakati sasa serikali kubadirisha mitaala yetu, tuachane na mitihani...
Ushahidi kuwa Dunia ni duara uko wazi kabisa, tumia jua! Linaanza kutoka mashariki lakini haliwaki dunia yote linawaka kidogo kidogo na kuzama hivyo hivyo
Ingekuwa flat lingekuwa linawaka kwa wakati mmoja au linazama kwa wakati mmoja, nafikiri wanaosema ni flat wanaacha hii evidence makudi...
Ndugu epuka kusema kitu ambacho ukijui! marubani wakiwa angani ile bending iko clear wala hauhitaji kuambiwa kama hivi, tuseme na kutetea kile ambacho tunakijua bila kuingilia professional za watu! Hata kama umepanda ndege tu bending ni kitu cha kawaida sana kukiona bila hata kuambiwa
Halafu mkiitwa Shithole country mnapiga kelele, resoning capacity ni zero. Ebu tuachane na siasa za vyama tujenge nchi yetu, ujinga wa vyama ndio utatufanya kuendelea kuwa masikini na kuuana kama sasa!
Kwa aliyekaa Ilala miaka ya 1985 kufikia 2000 anajua Club ya BOMU hawaq kabla hawajavuta bangi hawaingii uwanjani, na wakiingia uwanjani wao wanajua kufunga tu, kufungwa mpira ndio umefika mwisho. Uwanja wao ni pale ilala mabembeani mtaa wa ngoma, sasa siku wacheze na Ashanti wauza mitumba, hiyo...
SHEMEJI MGANGA WA KIENYEJI ALIYENIPA DAWA YA MVUTO WA BIASHARA ZANGU NA MKE WANGU KAPANIDSHWA CHEO KAZINI NAMBA YAKE NI 0765439641 AMESHARUDI KUTOKA SHAMBA
MIMI WEWE MBWA GANI
KAISHIA
SHEMEJI NIMEFANIKIWA KUPATA NAMBA YA KIJANA AMBAYE BABU YAKE ALINIZIA RUPIA NILIYOWAUZIA WALE WAZUNGU NAMBA YAKE NI 0785632099 MPIGIE ANA PASI YA UJERUMANI
Mimi: NATAKA RUPIA
AKAPOTEA HAKURUDI TENA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.