Search results

  1. MtamaMchungu

    Mabibo jeshini nini kinaendelea, biashara zimepamba moto

    Kama ni mpitaji au mkazi wa maeneo ya Mabibo jeshini, hivi karibuni shughuli za kibiashara zimekuwa zikichipuka kila siku, pembezoni mwa barabara upande wa kambi ya jeshi. Nini kimetokea au kubadilika siku za hivi karibuni? Yale maeneo yanauzwa au kukodishwa au ni biashara za jeshi? Mwenye...
  2. MtamaMchungu

    Msaada fundi mzuri wa magari ya Suzuki

    Habari wanabodi, Kama heading inavyojieleza, nahitaji msaada wa fundi mzuri wa Suzuki, Hapa Dar, kwa mwenye jina, alipo na contacts za fundi, please post here
  3. MtamaMchungu

    Ushuru wa kuagiza mashine nje

    Habari wanajamvi. Nina mpango wa kuanziasha biashara ya kutengeneza matofali na pavement blocks. Sasa nimepata chimbo moja lina mashine safi sana kwa hii kazi. Tatizo langu sijawahi kuagiza mashine kutoka nje, nahitaji kujua gharama za kodi zinakokotolewaje, ili nifanye maamuzi ya busara; kama...
  4. MtamaMchungu

    Mimba za wanafunzi na mashtaka yake

    Kuna kitu kinanitatiza kidogo kuhusu huu utaratibu wa kukamata na kushitaki mtu kwa madai ya kumpa mimba mwanafunzi. Tuachane na wale wanaobaka na kumpa mimba mwanafunzi, ambao tayari wana kosa la kubaka, then hili la kumpa mimba linafuatia; mimi naongelea kesi kama mwanafunzi alikuwa na...
  5. MtamaMchungu

    Landlocked Countries - Wananunuaje silaha?

    Wana JF, Ningependa kufahamu, nchi kama Rwanda, Burundi, Zambia etc zinasafirisha vipi silaha nzito nzito kama vifaru, magari makubwa na silaha nyingine kubwa kubwa.
  6. MtamaMchungu

    Tank Man wa China na Bike Man wa Tz

    Picha mbili tofauti, nyakati tofauti, nchi tofauti lakini ujumbe mmoja tu.... Tunataka mabadiliko
  7. MtamaMchungu

    Gazeti la Mwananchi na Habari leo nani mkweli kuhusu muswada wa Maafa bungeni

    Leo katika pita pita zangu magazetini, nikasoma habari gazeti la Mwananchi yenye kichwa "Lissu awatoa jasho AG, Mhagama" Mwisho wa habari hiyo kuna maneno haya "Hata hivyo, muswada huo haukupitishwa kutokana na akidi." Nilipofungua gazeti la Habari Leo, habari hiyo hiyo imeandikwa kwa...
  8. MtamaMchungu

    Mahitaji maalumu kwa wanawake wanapokuwa jela

    Kiujumla wanawake wana mahitaji ya tofauti hasa hasa katika vipindi viwili ambavyo ni unique to women only. 1. Wakati wa hedhi 2. Wakati wa ujauzito. Swali langu ni je, katika jela[prison service] zetu Tanzania, wanawake wakiwa kwenye hivi vipindi, wanapata huduma zipi za ziada. Kwa...
  9. MtamaMchungu

    Dual Citizenship Troubles, Tuna lipi la kujifunza kutoka Maasi ya Gambia?

    Kulingana na taarifa za BBC, Huko Marekani wamekamatwa watu walioshiriki katika kupanga na kutekeleza mpango wa kupindua serikali ya Gambia wakati rais Yahna Jammeh akiwa ziarani nje ya nchi. Kitu kilichonigusa zaidi ni ile namna ambavyo watu hawa wenye asili ya Gambia wametumia uraia pacha...
  10. MtamaMchungu

    Declassified Intelligence Documents

    Nimekuwa nikishuhudia mashirika/idara za usalama za nchi nyingine particulary US and UK zikitoa baadhi ya classified intelligence documents baada ya kipindi fulani. Mfano mzuri ni documents za Area 51, ambazo zimekuwa desclassified mwaka 2013. Najua Tanzania Intelligence Community[TISS, CMI...
  11. MtamaMchungu

    Yes means yes, sheria mpya California

    Hatimaye leo imepitishwa sheria mpya Jimboni California katika juhudi za kupambana na ubakaji hasa katika vyuo. Kiufupi ni kwamba kama mwanamke hajasema Ndio kwa maneno au kwa lugha ya ishara("Nodding") au kumsogelea mwenzi wake "Consent can be non verbal, such as a nod of the head or moving in...
  12. MtamaMchungu

    Kabla hujamwacha aende, ushauri kwa wanaume wenzangu

    Tumesikia mara nyingi sana visa vya wanaume kuwaacha wanawake kwa dharau na vijembe vingi, halafu baada ya muda mfupi, anarudi huku anapiga magoti kuomba msamaha. Hili halipo kwa wanaume tu hata kwa wanawake lipo, lakini sitaongelea upande wa wenzetu,[Women and children can afford to be...
  13. MtamaMchungu

    Edward Lowassa: Vita vya Kagera na Sakata la Richmond

    Katika pita pita zangu mitandaoni nikaona ukurasa wa facebook wa Waziri mkuu wa zamani Edward Lowassa. Katika moja ya kurasa zake kuna moja inayozungumzia personal achievements, naomba ninukuu point mbili muhimu Point ya kwanza - I had been privileged to take part in defending our state...
  14. MtamaMchungu

    Mpesa Till for Sale

    Kuna Mpesa till ninauza, yoyote mwenye interest ani PM kwa mawasiliano zaidi.
  15. MtamaMchungu

    Wanaume kukosa uaminifu, chanzo ni wanawake

    Wanawake kutwa kucha kulalamikia wanaume sio waaminifu!! Charity begins at home, ni wanawake wangapi wenye mahusiano na wanaume wenye mahusiano na wanawake wenzao huku wao wakijua tena in worst cases watu wenye familia? Why should it be wanaume tu kulaumiwa, kwa nini wanawake wasianze wao kwa...
  16. MtamaMchungu

    Kama huna hakika, usimwache

    Kama kuna kitu ambacho huwa napata tabu kukielewa ni hiki cha mtu kumrudia X wake hasa baada ya kumuacha kwa vituko vya kila aina. Kuna kesi moja ilitokea kati ya binti na jamaa yake. Walikuwa wapenzi kwa miaka karibu 10, kutoka form II mpaka baada ya kumaliza chuo na zaidi ya hapo. Siku moja...
  17. MtamaMchungu

    Binti Wa Mjini anapokutana na Mjanja wa mjini

    Acha video iongee yenyewe..... http://youtu.be/g5izujJGL0M http://www.youtube.com/watch?feature=player_embedded&v=g5izujJGL0M CC... kwa wapenda kula vya watu wote...
  18. MtamaMchungu

    If only

    If only women would treat their lovers/partners just like the way they want other women to treat their brothers, uncles,sons etc If only men would treat their lovers/partners just like the way they want other men to treat their sisters, aunts, daughters etc The world would be a very...
  19. MtamaMchungu

    Damu nzito kuliko maji

    Hiki kisa kilitokea Jamuhuru ya Czech mwaka 2007, sijui ni watu wangapi humu waliwahi kuisikia but it's worth reading Two baby girls mistakenly swapped at birth in a Czech hospital have been returned to their parents in time to celebrate their first birthday. The girls were born 18 minutes...
  20. MtamaMchungu

    William Kusila aitabiria kifo CCM

    ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Dodoma, William Kusila amesema kuwa Tanzania inaelekea kuzimu na kwamba hakuna namna tena ya kukifanya chama hicho kikawa na heshima. Kusila ambaye pia aliwahi kuwa Waziri wa Mawasiliano na Uchukuzi, alishindwa kutetea nafasi yake...
Back
Top Bottom