Ameshinda kwa 7babu ya vita ya panzi, still aligaragazwa na babu na ndio maana analazimisha kuua upinzani kwa akili yake anafikiri I ataweza. Uminyaji wa demokrasia unatokana na kichapo cha 2015 hiyo ipo wazi
ZAHANATI ZAFUNGWA KWA KUKOSA WATUMISHI-CHEMBA KWA NKAMIA
ZAHANATI mbili zimefungwa kwa kukosa watumishi wa kada ya afya katika Wilaya ya Chemba mkoani Dodoma na kupelekea wananchi kusafiri umbali mrefu kufuata huduma za afya.
Hayo yalibainika juzi wakati wa ziara ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dk...
Chuki ndani ya nchi hii imeletwa na serikali iliyolaaniwa ya ccm. Hta siku machafuko na vita vikitokea ni ccm Wata7bisha. Hawataki wapinzani kuunga mkono jamii yetu. Na ndio maana nasema kuwa haya yote ni 7babu ya kipigo walichopewa na lowasa uchaguzi wa 2015. Sasa hivi hawataki maendeleo...
ALITOA ANGALIZO KWA IGP NA MKUU WA USALAMA WA TAIFA WKT AKIZUNGUMZA NA PRESS. LKN PIA MWENYEKITI WA BAVICHA ALITILIA MKAZO WKT AKIZUNGUMZA NA MEDIA . KWA NCHI INAYOTHAMINI HUMAN RIGHT ILIKUWA STARTING POINT NZURI. LKN PIA ALITAJA NO YA GARI AMBAYO IMEKUWA IKIMFATILIA
Sent using Jamii Forums...
Lissu alishatoa angalizo kwa igp na mkuu wa usalama wa taifa kuwa kuna watu wanamfatilia.
Mwenyekiti wa bavicha nae aliongeza kwenye press kuwa lissu anatishiwa na kuna comments na mtu mmoja ambaye wanamtilia shaka wanazo print out zake za social media.
Lkn pia huyo mtu jana pia facebook...
VIONGOZI :TUMENUNUA NDEGE MBOMBERDEAR NYINGINE ITAKUJA JULY. TUNASHUKURU SERIKALI KUTUFAHAMISHA, BAADA YA KUKAMATWA NA WANAOTUDAI SERIKALI HAIJATUFAHAMISHA SISI AMBAO NDIO WADAU WAKUBWA WA RASLIMALI ZA NCHI HII. KWA NN TUSIMWAMINI LISSU ANACHOWAAMBIA WATZ? LKN PESA ZA KUNUNUA HIYO NDEGE HAZITOKI...
Lissu is the most intelligent lawyer in African continent. He always use his career for public interest. Government lawyers most of them work for the sack of defending their daily bread instead of public interest. But also it seems that some them have qualifications such that in the eyes of...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.