We umesema hicho Kitabu ?. Inferiority complex inawasumbua sana Muslims. Ukisoma kile Kitabu, jamaa ameonesha tafakari za kina saana kuhusu mambo ya dini na Imani ambayo wahafidhina wa dini hawapendi yajadiliwe Bali husisitizwa yachukuliwe Kama yalivyo,(hii inahusu hata wakristo) Kitabu kitamu sanaa
😂 Kama vile wengine wamevaa nguo zilizotengenezwa na Yesu mwenyewe kumbe inawezekana hata ya mchungaji wao imetoka kiwanda kimoja. ja na hiyo jeans yako. Imani ikikuingia vibaya ni uwendawazimu kabisaa
Wa ndugu yako sawa kabisa. But ki uhalisia haikai sawa mi nianze kulea mtoto wa jamaa aliekua ana mgonga ambae ni mkewangu Hadi akamzalisha Kama haitoshi aka mdump na kitoto, alafu mie nioe, nilee na mtoto !!!?? You guys are not serious
Acha kutoa povu. Hakuna kuzaa bahati mbaya. Ni ni ujinga na uhuni au tamaa au kuendekeza mapenzi ya kijinga . Wadada wakiwa chuo Huwa wajuaji saaana ukimshauri au ukimuonya anakuona kama mchawi, maisha yakimpiga akiona ameshapata hadhi ya single mother ndo anajifanya kuleta busara za ajabu...
Kwani mtoto ni WA nani ? Ukizaa nje Bora uamue kukaa single mother maisha yako yote,but ukitaka nikuoe ujue kamwe sitafanya kazi ya kulea mtoto wa mwanaume mwenzangu huku yeye akienjoy maisha peaceful na family yake huko.
Habarini wanajamvi! Nina swali ndugu zangu;
Hivi wakati wana Israel wanaenda Misri walipita wapi ambapo hawakuvuka bahari ? Na ikawaje wakati wanarudi wakatakiwa kuvuka bahari?
Umasikini hautokani na kazi au kozi uliyosomea. Umasikini ni mfumo wa akili na mtazamo wako au nature ya malezi na familia yako. Kuna walimu ni matajiri sana na kuna ma daktari masikini sana , kuna walimu masikini sana na kuna makarani matajiri. Badili mtazamo
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.