Baada ya utata wa muda mrefu,uliojitokeza baada ya watu kudai mkuu wa mkoa wa D'salaam jina lake halisi ni Daud Albert Bashite na sio Paul Makonda kama anavyojitambulisha.
Hatimae Daud Albert Bashite (Zero Brain) halisi ajitokeza
Brighton Moyo, raia wa zimbabwe aliekuwa akiishi Afrika Kusini alieigiza kufa na kufufuliwa na Mtumishi Alph Lukau.
Safari hii amefariki kweli na kusikwa na sio maigizo. Inasemekana alikua akiishi na VVU pia figo na mapafu yake vilishindwa kufanya kazi.
Source: Swahili Times
Sent using Jamii...
Tamasha ya uume maarufu kama "Kanamara Matsuri" ni moja ya sherehe ambazo hufanyika nchini Japan,kusherehekea umuhimu wa uume katika jamii.
Tamasha hiyo inaaminika kuwa ilianza katika karne ya 17 ambapo makahaba walikuwa wakienda katika hekalu ya Kanayama kuomba kwa ajili ya kijikinga kutokana...
Mimi ni kijana mwenye leseni daraja C na D. Natafuta kazi ya udereva kwenye Kampuni na kwa watu binafsi.
Kwa anaehitaji dereva anitafute kwa mawasiliano 0674623835
Alikua ni mwanafunzi wa engineering mwaka wa 4,amekutwa chumbani amefariki,,
kwa wanafunzi wa NIT huyu jamaa aLikua anauza chips pale best free
RIP BRO
Ebhanah hii ni hatari,leo nkasema nisogee mkoa kidogo nikawacheki ndugu,jamaa na marafiki,ila kufika ubungo yani hawa wapiga debe ni kero unagombaniwa kama mpira wa kona
Dah yani kero kinoma!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.