Search results

  1. sam leon

    Daudi Albert Bashite (Zero Brain) Ajitokeza.

    Baada ya utata wa muda mrefu,uliojitokeza baada ya watu kudai mkuu wa mkoa wa D'salaam jina lake halisi ni Daud Albert Bashite na sio Paul Makonda kama anavyojitambulisha. Hatimae Daud Albert Bashite (Zero Brain) halisi ajitokeza
  2. sam leon

    Swaumu.

    Tutaanza rasmi kufunga siku ya kesho. Bishop katuharibia swaumu asee
  3. sam leon

    Brighton Moyo aliyeigiza kifo na kufufuliwa afariki dunia kweli

    Brighton Moyo, raia wa zimbabwe aliekuwa akiishi Afrika Kusini alieigiza kufa na kufufuliwa na Mtumishi Alph Lukau. Safari hii amefariki kweli na kusikwa na sio maigizo. Inasemekana alikua akiishi na VVU pia figo na mapafu yake vilishindwa kufanya kazi. Source: Swahili Times Sent using Jamii...
  4. sam leon

    Tamasha la kanamara Matsuri

    Tamasha ya uume maarufu kama "Kanamara Matsuri" ni moja ya sherehe ambazo hufanyika nchini Japan,kusherehekea umuhimu wa uume katika jamii. Tamasha hiyo inaaminika kuwa ilianza katika karne ya 17 ambapo makahaba walikuwa wakienda katika hekalu ya Kanayama kuomba kwa ajili ya kijikinga kutokana...
  5. sam leon

    Natafuta kazi ya udereva

    Mimi ni kijana mwenye leseni daraja C na D. Natafuta kazi ya udereva kwenye Kampuni na kwa watu binafsi. Kwa anaehitaji dereva anitafute kwa mawasiliano 0674623835
  6. sam leon

    Naomba mnisaidie Public Procurement Act

    Kama kichwa cha habari kinavojieleza.Yeyote mwenye soft copy ya Public Procurement Act anisaidie Ahsanteni sanah!!
  7. sam leon

    Mwanafunzi Chuo cha Taifa cha Usafirishaji afariki dunia

    Alikua ni mwanafunzi wa engineering mwaka wa 4,amekutwa chumbani amefariki,, kwa wanafunzi wa NIT huyu jamaa aLikua anauza chips pale best free RIP BRO
  8. sam leon

    Kero ya wapiga debe wa magari Ubungo

    Ebhanah hii ni hatari,leo nkasema nisogee mkoa kidogo nikawacheki ndugu,jamaa na marafiki,ila kufika ubungo yani hawa wapiga debe ni kero unagombaniwa kama mpira wa kona Dah yani kero kinoma!!!!
Back
Top Bottom