Nadhani ulinielewa tofauti!Si kwamba tunalaumu wataalamu,la hasha!Kumbuka dunia nzima,tiba halisi inaanzia maabara,ndiyo maana nikaulizia maabara ya mifugo ili kuku wangu waweze kuchunguzwa!Lengo ni kubaini tatizo hasa ili litibiwe!Wataalamu wote wa mifugo,wanatibu kwa kukisia!Na hapo ndipo...
Wanasinzia!Alikuja tabibu wa kwanza nikamlipa akatoa dawa ajabu wale wote waliokuwa hali mbaya wakafa!!Nikashuku hiyo dawa!Akaja mwingine naye akagawa dozi yake lakini bado hali iko vibaya!Tatizo wote wanatibu kwa hisia!!
Kama kichwa kinavyojieleza!!
Ninaomba anayeifahamu maabara ya kupima magonjwa mbalimbali ya wanyama kwa jijini Mbeya ninaomba mnijuze tafadhali!
Nina viumbe hapa wameletewa madawa Mara nyingi na wataalamu wetu hawa wa "darasani" lakini hakuna maendeleo yoyote!Nilipenda nijue mifugo yangu...
Ninaomba mwenye uelewa wa shule nzuri kielimu kuanzia chekechea hadi msingi Ninaomba anijulishe,jina la shule ,gharama zake na hata namba za simu kwa jijini Mbeya Ninaomba anijuze tafadhali!Mwanangu nilimpeleka kwenye shule moja hivi,nilichokuta watoto wanalishwa kama chakula,sina hamu...
Asante sana kwa ushauri nitaufanyia kazi!Kuhusu unyevu nimeanza kuianika!Hiyo mycotoxin nitaitafuta.Swali langu ni hivi hiyo dawa haina "effect" yoyote kwa kuku?Maana lengo langu nikuja kuiuza hiyo pumba ikiwa imechanganywa na virutubisho vingine kwa ajili ya kuku,sungura n.k!Kwa nini...
Wanajf Mimi ni mfugaji mdogo wa kuku!
Msimu huu nimebahatika kupata pumba ya kutosha!
Ninaomba anayejua namna nzuri ya kuihifadhi ili niitumie au hata kuiuza hapo baadae ninaomba anijuze!
Lengo ni ili isiharibike!
Msaada tafadhali
Maoni na ushauri mzuri ingawa hujataja ni chanjo gani hiyo anayopewa bata wa siku moja!!Ukienda duka la dawa za mifugo utakuta chanjo za kuku na si za bata!
Kwanza ninawashukuru wote mlionishauri kubadili king'amuzi baada ya kile cha zuku kuwa kinaniandikia no signal kila siku hasa mawingu yanapotanda!Nilihamia huku kwa Azam! Sasa baada ya kukizoea toka juzi wingu limetanda na mvua inanyesha kama ilivyotabiriwa!
Ajabu toka juzi naandikiwa "No or...
Tunaomba tusaidiane hapo!Kuna familia moja ya rafiki yangu nimekuta kikao ambapo kulikuwa na mjadala mkali!Mama yao kastaafu na alikuwa kwenye Saccos moja akaomba kujitoa kwa sababu amejenga makazi yake mkoa wa 5 toka hapo alipostaafu.Wamemhesabia pesa zake pamoja na magawio yake wamempa!Familia...
Naombeni mnaojua mnipe ushauri kwa sisi masikini kipi bora nikafungue akaunti saccoss au niende benki?
Faida ni zipi kwa kila kimojawapo na hasara ni zipi!
Njooni mnielimishe!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.