Mlipoambiwa zito ni zaidi ya cdm mlibisha sasa mnaweweseka mini alaf ongea kama MTU mwenye akili timam nani amekwambia kua kuanzisha chama ni dhmbi na bado mbege hainyweki mwaka huu
Kaka asante kwa ufafanuzi mzuri lakini ungewakumbusha uchaguzi unakaribia wache kumkomalia zzkk na wajadili sera za kuwaeleza watanzania na si kuendekeza uzushi wa kufikirika
Upuuzi c lazima uandikwe usoni ata kauli zinatosha kupambanua upuuzi wako pumbavu wwe heshim imani za wenzako kama wanavyoheshim za kwako mjinga kabisa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.