Haahahaaa!!
Mlangaja na wengine,
Msisahau kuwa Kitengo cha usalama ni nyeti sana ktk nchi , na nchi yetu hivi sasa iko kwenye kashfa ya ufisadi kwa viongozi wetu wa juu, hivyo mtu kama huyo/hao ni zahiri kupata nafasi katika kitengo hicho ili waweze kukitumikia kitengo hicho kwa kulipa...
Tatizo hapa sio mgombea yupi angefaa ila ni mfumo mzima wa kumpata na kumpitisha kuwa mgombea wa chama . Hapa panahitaji pesa ya kutosha kufikia hapo, hiyo ndio jinsi hali ilivyo ndani ya CCM .Kwa mantiki hiyo unakuta mtu anaweza kuwa anasifa zote za kuwa kiongozi mzuri lakini bila pesa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.