Naombeni msaada gari yangu ikikaa muda kama wa masaa matatu nikiiwasha inawaka vizuri tu ila nikikanyaga moto inakuwa kama inamiss na inataka kuzima nikikanyaga sana yani mara nyinginyingi inachanganya na tatizo la kumiss linaondoka, naombeni kujua hapo shida ni nini maana nikilizima nikakaa...
Gari yangu imeanza kusumbua lkn tatizo cjui, ni carina automatic gear,inawaka safi,unaweka gear D kama kawaida ila RPM ikifika juu ya 2 inakuwa kama ipo katika N yaani neutral sasa cjajua tatizo nini, nilishasafisha sample na chekeche, msaada wa mawazo ya kiufundi wadau.
1jz GTE ni injini yenye nguvu sana ya Toyota ya kwenye gari ndogo hasa utaikuta kwenye Toyota Aristo na hasa ukitaka kuipatia zaidi ifungwe kwenye Toyota Artezza na ukute yenye twin turbo ni balaa kabisa.
Wadau nisaidieni,gari yangu inatatizo la kuvujisha ATF kwenye kikombe kinachobeba star joint na drive shaft ya kulia,nimebadili kikombe mara mbili lkn huwa kinavuka na kupelekea ATF kuvuja na kupungua,nifanyeje au tatizo hili nilisolve VP?Gari ni Toyota Carina engine 5A
Nimesikia hiyo kwa baadhi ya wadau kuwa unaweza ukalipia road licence kwa instalment yaani lile deni likikamilika ndio unaenda TRA kuchukua stiker ya kubandika kwenye chombo, mwenye kuelewa kuhusu hili atujuze.
Toyota duet inauzwa 4m , ipo katika hali nzuri sana na automatic na imetembea km 140,000, mafuta inanusa 1lt inaenda km 20, cc 980. For serious buyer just call 0713 234224
Nimepakua keys za antivirus tatizo nikifungua hilo file linadai program ya kufungualia, maana nikitumia microsoft word inafunguka vitu vya ajabu, msaada tafadhali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.