Nimeagiza asali jion nikamwambia mamy ikifika aipokee... Muda si mrefu nimeionja nimekuta ina radha chungu, af nyeusiiii.... Asee huu ni uchakachwaji na si uchakachuaji huu, lohh!!!
Wakuu nipo wilaya ya Kasulu muda huu eneo moja wanapaita Kitagata, asee watu wa hili eneo/kijiji wote wanazungumza kuhusu diamond plutnumz.... haswa kwenda Kigoma mjini kumshuhudia
...najiuliza maswali uyu dogo ni vip huu umaarufu kias hiki?
Na uko kasulu mjini napoelekea nasikia ndyo hatar...
Mwezi uliopita kabla ya tarehe 16 mmenitumia sms kwamba nikilipa kifurushi cha compact+ mapema kabla hakijaisha nitapata ofa ya Chanel za premium kwa muda wa siku 30 bure.
Kifurushi kilikuwa kinaisha tarehe 26, nikalipa mapema ili nipate hiyo ofa na cha kushangaza hakuna cha ofa wala nini...
Wakuu mambo vp?
Kuna manzi kajilengesha jana jioni/usiku nkaona isiwe tabu nkamwita akaja kaingia ndan nkaanza kula mzigo...
Baada ya kama lisaa hivi tumepumzika (midnight) na manzi yupo hoi kidogo... Ikaingia msg kwny simu yake inauliza UMESHAFIKA MSIBAN MKE WANGU???
kumbe muda ule...
Wakuu shwari?
Kwa watalaam naomba mnisaidie, kuna demu kaniletea papuchi asubui hii... Nikamuingiza ndan then tukaanza mtanange sitn rum apa...
Cha kushangaza nimepiga bao la kwanza demu akawa yuko poa tu, tukaanza raundi ya pili na baada ya kama dk 5 hivi mdada akataka kuchuma mboga...
Wakuu mpo?
Poleni kwa majukumu... Juz nlitoa Mada apa kuhusiana n misambwanda (ke) kutoa harufu ya m.a.v.i. kwenye butts...
Sasa jana ckukubali, nlikomaa nkapata kitu iko short chasis af nyuma kimejaziiiia/tako ztooo full mitetemoo... rangi ya NGOs nyeupe, mtoto full shanga kiunon, saut...
Mko poa wakuu? Yan kuna manz nmelala nae ana zigo la htr (super bbw) na kama wswahili wasemavyo nyumba ni choo...
Cha kushangaza uyu manzi kalio lake linatoa harufu balaa... Nmeshangaa sana asee mana haendani na vile jnc anavoonekana... Kama wapo wa aina hii humu emu rekebisheni io fasta...
Habarin za asubuh members jf?
Wanawake samahan kam ntakua nawaboa ila ni ktk hali ya kutaka kufaham then tunarekebshana mana uwanja huu c mahali pa kuburudka pekee... bali kufunzana pia!
Iko iv, ni kwel wanawake/wasichana huwa mnajisahau kbsa pind muwapo kwenye mahusiano n wanaume ... n...
Wakuu samahan, kuna jambo linanitatza hvyo nmeona nililete umu...
Nini tofaut ya haya maneno ... "FREE CORRUPTION ZONE" v/s "HATUPOKEI RUSHWA HAPA" unapoyakuta yameandikwa ktk vibao vilivyobandkwa ktk ofc n majengo ya serikali hususan ofc za serikal ztoazo huduma kwa jamii....
Maneno hayo...
Umu JF, inaonekana members wote washawah kukutana ana kwa ana n wakafahamiana, icpokua mimi tu ndo cjawah kukutana wala kuonana n member ata m1 umu....
Hii inawezekana kweli niwe mimi tu?
Au kuna wengine walio kam mm pia....
Sent using Jamii Forums mobile app
Jana nilivofika kibaruani asubuhi mjengoni baada ya kusain then maongez na colleagues kidogo... Kuna mzenji afisa mwenzangu huwa tunapenda kumtania kwamba yeye kwa mkewe ni bwege sababu huwa anamfanyia mkewe kila kitu ilhal mke wake yeye ni kula, kunywa, choon, kuvaa na kupatiwa chochote...
Jamani iv kuna wanaJF wanaoish hapa Kasulu/KIGOMA? Kam mpo tujitambulishe then cku1 tupange tukutane tufahamiane physically,
Me npo Kasulu eneo la Mlimani...
Karibuni [emoji4]
Za leo wakuu, samahani... Mwanamke 45+ (miaka) kama ameshika ujauzito... mtoto akizaliwa atakua salama kiafya na kiakili? Kwa wale wataalamu msaada tafadhali, nawasilisha.
Wakuu mbali mbali habarini za mchana,
Tumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutufikisha katika siku ya leo, Kama title ijielezavyo, ni hatua zipi ama nini kinatakiwa kufanyika ili nikajitambulishe.
Msaada wenu, naomba niweze fanikisha hili swala.
Karibuni!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.