Big up ... komaa tu ndugu na kwa style iyo milango mingine ambayo hata haukuitaraji lazima itafunguka na kuna siku uliyoyapitia utakujaga kuyasahau na kujishangaa utakapofikia ... amini hili
Yupo sahh ... pale yupo na mkuu wake hivyo hawez kuzungumza lolote au pengine mpk apewe ruhusa na mkuu wake ndo atazungumza ...acheni kukariri, UMBWA!!!
Blaza bnadam hatuaminiki, fahamu kama ulikua ufahamu... kitendo cha wew kutokuona msg za malovee kwny simu ya mpnz wako haimaanish uyo kwako anafaa... mbinu za kucheat zipo nyng sana na we mwnyw unazijua mana ni cheater vile vile .... rai yangu kwako: ishi vile unavoona ni sahh kwako ktk maisha...
Nimeagiza asali jion nikamwambia mamy ikifika aipokee... Muda si mrefu nimeionja nimekuta ina radha chungu, af nyeusiiii.... Asee huu ni uchakachwaji na si uchakachuaji huu, lohh!!!
Kile ki'wilok cjui ateta anakipendea nn.... Bnafs sionag kbsa mchango wa kale kadogo zaid ya hasara tu kwny pitch.... Kuna mtu kama mustaph pale pa1 n kwmb ndoivo jua linazama lkn anaeza bs kwa kipind kilichobaki abadlshiwe japo majukumu kama ateta anaona hana kiungo mlinz.... Game ya jana...
Kwa wilok na nketiah sawa... Ila kwa nelson nakukatalia mkuu, yule dogo bs tu hajakutana na kocha mahiri + akina smith row n madogo wngne wanaojua pale emirate.... Iv unamkumbuka SESE GNABRY??? kilichitokea, usije kushangaa na kwa nelson ikawa.. then tutaishiaga kusema tu arsenal product bs ....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.