Search results

  1. Tatigha

    Stress zilinifanya nihisi kuwa na tatizo la nguvu za kiume

    Acha uzembe mzee tafuta mchepuko hiyo hali haitotokea tena
  2. Tatigha

    Kuna siri gani kati ya Wachaga na Mwisho wa Mwaka?

    Acha matusi na wakurya....! Pambana na hao hao wachaga kama wamekushinda kakojoe ulale
  3. Tatigha

    Wachawi wanavyoiba nyota za watu wanafanyaje?

    Hahahaha si ungemtaja hata masanja
  4. Tatigha

    Mwanamke sio mtu wa kubembelezwa

    Kuwa kama ulivyo usilazimishe tabia isiyo yako
  5. Tatigha

    Hii hali ya watu kunuka mdomo na jasho ni ugonjwa au ni uchafu

    Hakuna kitu kama hicho watu waache uchafu aisee....! Mtu unakuta akicheka meno yamejaa ukungu, ulimi una utandu mweupee, makucha marefu yamejaa uchafu, mtu kama huyo unamteteaje? Tuache uchafu asee
  6. Tatigha

    Dada zangu kwanini mnawapenda wanaume wahuni?

    Hao wahuni unaowasema wewe.....! Ni wasela Mavi wasiojitambua sasa
  7. Tatigha

    Amepata kazi Bunda mkoani Mara. Vipi wenyeji wa huko?

    Huyo alikua hakupendi...! Wala sababu sio unatokea Mara, akikupenda haangalii unatokea wapi...! Mrisyaaa umeniuzi sana
  8. Tatigha

    Ujasiri wa kusimama mbele za watu wengi

    Unaweza ila umekosa uzoefu tu
  9. Tatigha

    Nina tatizo la kutoa hewa chafu kila baada ya dakika mbili au tatu naombeni msaada

    Mkuu mimi napata hiyo shida tumbo kujaa gesi pamoja na kiungulia baada ya kula...! Shida inaweza kuwa nini?
  10. Tatigha

    Leo nimeaibika sana, roho inauma

    Akichukua wa kumvutia haswa, atasimamisha lakini atamwaga chini ya dk 1 hahahahah
  11. Tatigha

    Punyeto ni nini na nini madhara yake?

    Ulitumia nini kutibu uume kurudi kwenye hali yake?
  12. Tatigha

    Nini kinasababisha watoto wengi kuwa wafupi siku hizi?

    Wanawahi kuanza shule si kwamba wamekua wafupi....! Tena matoto ya siku hizi ndo yanakua fastaa
  13. Tatigha

    Waume zetu msiache kufanya mapenzi na sisi tukiwa wajawazito

    Hata kama una kibamia inaongeza ukubwa wa lango?
  14. Tatigha

    Msaada: Mnafanyaje mambo yenu yaende poa?

    Badili fikra na mtazamo wako kila kitu kitakua vizuri
  15. Tatigha

    Kunani kati ya Mchaga na Mhaya humu jukwaani?

    Haya mambo pelekeni Kenya, Tanzania sisi sote ni ndugu
  16. Tatigha

    Natamani kuoa, ila mambo haya ndo yananikwamisha

    Mimi huwa naona ni kitu kigumu mnooo kuliko kuhamisha Mlima, kuishi na kiumbe usichokipenda, ulale nacho, uamke nacho, ule nacho ni kipengele mazee
  17. Tatigha

    Natamani kuoa, ila mambo haya ndo yananikwamisha

    Mimi huwa sielewi mnaosema watu waoe mwanamke asiyemvutia kisa tu huyo mwanamke kampenda. Ukioa asiyekuvutia utawahi kumkinai mapema
Back
Top Bottom