hapana katikati ya uchafu lazima kiwepo kisafi kimoja na lengo la uzi huu ni ku waasa mabinti wasije chezea utu wako kwa wbabaishaji na maani kunawanao jielewa na walio lelewa kwenye maadili na kujua nini maana ya bikra zao kwa mumewe
nani kakwambia dhambi ni roho wabaya kama ujajua mtoto anapo anadaliwa uandaliwa na kila kitu kutoka kwa wazazi wake ivyo kama kuna ubaya wowote uliopo kwa wazazi mtoto uendelea kukua nao mpaka atakapo zariwa ndiyo maana kwa ndugu zetu wa kristo wanaambiwa ni muuhimu kumbatiza mtoto ila...
mwanamke ndo kiumbe peke aliyepewa majukuma na mwenyezi mungu ya kuijenga ndoa yake maana mwanamke mjinga uvunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe usafi na kujiheshimu ndo misingi ya ndoa bora sababu wewe ndo mjenzi na yeye ndo msingi wa familia ivyo ukianza ujenzi vibaya basi tarajia nyumba...
CHUNGU LAKINI DAWA
Kama hana bikra usimuoe, achana naye. Tafuta mwenye bikra ujichukulie mwali.
Kama hana bikra usitoe mahari kama umeamua kuoa. Toa mahari kwa mwanamke uliyeikuta bikra kwake. Mtu hana bikra unatoaje mahari.
Kama hana bikra usifanye harusi. Harusi ni kwa mwanamke mwenye bikra...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.