Umri wako ni upi?? Ni matatizo mengi yanayoweza kuleta hilo tatizo pombe umri magonjwa kansa ni mifano tu ila kujua haswa ni vema uende hospitali
Na kuhusu uzazi ndio usipotibiwa ilatela shida kidogo kwenye uzazi na uanaume wako pia kwa ujumla ko ni vema kwenda hospitali
Kuhusu pombe sifahamu ila sio busara kunywa pombe na dawa unauongezea mzigo ini na figo ko zinaweza dhurika kwa namba moja ama nyingine
Kuhusu kunenepa ni kweli baadhi ya dawa hua zinasababisha kunenepa
Madhara kwenye seli za mwilini sio kama ambavyo virusi vingefanya
Dawa kuwakataa watu hiyo ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.