Mie nisaidieni,nachelewa sana kufika kileleni kiasi kwamba namuumiza mwenzangu na kutumia nguvu nyingi kuvuta hisia walau nimalize,nampa wakati mgumu mwenzangu kwani hakubali tena kurudia game,na anadai na kulama kwamba namkomoa,many times ananiacha njiani kabla sijamaliza!na huwa hataki kabisa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.