Mkuu km upo serious na pesa zako nenda kwenye vyombo vya dola. Vinginevyo utazungushwa sana na ukilipwa haitazid laki 3.
Mwanamke huwa ni mgumu sana kulipa km kakopeshwa na mwanaume wanayejuana siyo kimapenz yaan kirafiki tu.
Mnaonana mnapiga story hata masaa 3, mnapigiana simu, anakutembelea...
Ndiyo inafika. Haujawahi ona mtu anahonga gari ya milio 20? Utakuta mtu ana mke na watoto lkn anamchepuko pembeni kaujengea hadi nyumba. Hiv unafikiri mtu km huyo anataka nn kutoka kwa mwanamke? Ww mwenyew ushahonga vingapi kwa mwanamke?
Mkuu ktk maisha yako ogopa sana kuwakopesha warembo sbb...
Kwann usikopeshe wanaume wenzako? Hiyo imekula kwako. Ktk maisha unapomkopesha mwanamke ni sawa umetoa sadaka.
Utafuatilia mwisho wa siku atakupa papuchi na kwisha habar yako
Kafanya nn mwenyekiti wa chama cha makinia mpaka apongezwe?
Acacia ni wezi, wametuibia sana na hawana leseni. Bado acacia wanachimba madini na wanauza mpaka leo. Kaja tajiri yao kakaribishwa ikulu kwa mazungumzo. Hatujapewa trilion km alivyosema Pombe na anataka apongezwe. Ni mpumba...fu na...
Katolewa kafara ili mwenge upate kusonga mbele. Hizi rambi rambi ni sherehe kwa ccm. Mkulu huko kafurahia sana. Anajua kias gani kitapatikana ili akawalipe mafundi wa bombadier mtumba.
Njia ni rahisi sana. Pelekka mahari kwa wazazi. Ndoa ifungwe lini na kisha utakuwa umeweza.
Utakuwa ww ni wale wa hit & run
OA MKUU HUYO NDIYO MWANAMKE WALA HAUTAGONGEWA MILELE
Siwez kubeba familia mpaka mgahawani ni aibu sana. Labda km tunatoka kanisani tunaweza pita mgahawani kula. Siku zingine chakula kinaliwa nyumbani. Km nimeenda kuangalia mpira baa, kwann nisile huko huko tu.
KUGONGEWA KUNAUMA SANA. ASIKUAMBIE MTU. KAMUULIZE MWANAUME YYTE YULE ATAKUAMBIA.
Mama yangu siyo lazima ule nyumbani.
Ukishakuwa mkubwa popote unaweza kula. Ndiyo maana kuna migahawa.
Ngoja nijirekebishe maana nikakoelea nisije nikagongewa. Na ukigongewa kuna uuma sana zaidi ya uchungu wa mama mjamzito. Nitajirekebisha honey
Ni kweli mke wangu lkn siwezi kulala saa 2 km kuku. Muda wa kulala ni saa 4:30 kuanzia saa 2 mpaka saa 4:30 tutakuwa tunaongea huku tunafanya mambo mengine km maakuli. Mm nipo tu babe halafu kipind hiki kuna mpira kwahiyo usishangae narudi saa 6 usiku
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.