Kuna uzi humu unaoelezea kabila furani toka kaskazini ya Tanzania. Mtoa uzi alitaka kujua ushiriki wa watu wa kabila hilo kuhusu mchezo soka. Hilo limenikumbusha mkoa wa Morogoro na mchango wake kwenye mchezo wa soka Tanzania . Morogoro ni mkoa uliobarikiwa kwa kuwa na maji mengi...
Wanajamvi, mchezo wa soka unahusisha timu tatu uwanjani.ukiacha zile mbili zinazochuana pia kuna timu ya waamuzi. timu hii ni sehemu muhimu ya burudani ya mchezo huo. hivyo tukumbuke majina yaliyotamba kwenye kupuliza filimbi na kunyoosha vibendera na matukio ya kusikitisha na kusisimua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.