Makonda lazima achukiwe wengi wakazi wa dar ni wapiga dili wauza unga yaani mkoa wa dar una mafisi.maji wengi sana sioni ajabu kwa makonda kuchukiwa kwa kiwango kilichopitiliza sana ana takiwa aongeze spidi maana dar ilijaa maduudu
Hebu tueleze kasi inapunguaje kukiwa na uzinduzi wa miradi ya maendeleo na kabla ya hapo maandamano yalikuwa na kasi ya kiasi gani. Acheni ubazoka na akiri za mtoto wa kunyonya kila wakati mnatafuta sifa za kutunga chadema utoto mtaacha lini chadema is nothing na haina lolote na hata hayo...
Hivi chadema hizi tamthilia mtaacha lini maana utoto mwingi na hicho ndio kinacho waponza mnadhani watanzania mazumbu hamjui walisha washitukia siku nyingi wapo kinya hawataki kuwajibu uzuzu wenu hiyo message mnaona walaka halafu mnadhani gerezani mchezo!
Hivi hata picha husomi kwaakiri yako ilio lowa ulojo unadhani kila.mtu ana muwaza lisu huyo lisu ni kwa ajili yako na familia yako tena mkabidhi mke wako maana unam husudu yule jangili
Watu watahangaika sana watekaji na wauwaji ni haohao chadema wabadhani kwakufanya hivi serikali irapakwa matope wapate pa kutokea kumbe wanajichimbia kaburi siku wanachama wao wakijua watagawana mbao na hao viongozi wao uchwara
Kwani majiji wengine hujui kwaanini wamekuwa majiji? Au au ninadhani kuwa jiji ni kuwa ni kuwa na bar nyingi au? angalia population huduma za kijamii zipoje ndio utajua usije ukadhani kuwa jiji ni kuwa na Tv mbeya sasa hivi ni ya pili kutaifa kuingiza mapato ya serikali ikiongozawa Dar es salaam
Jamaa analazimisha umaarufu hivi aliishia wapi na kesi ya bashite? Alitoa matamko kama yeye ndio kiama unajua chadema kama watoto ukimpiga umemwonea ukimwacha umemwogopa sijui watakuwa kiakiri lini maneno ya taarabu kama mademu wakipigwa kuchwa kutwa kulalamika mnaubavu na serikali nyie acheni...
Huwezi kufananisha upinzani wa kenya na utapeli wa wakina mbowe uma sio wajinga ni watu wanaojua nani anafanya biashara nani mpinzani lakini pia kama unampinga Rais JPM wewe ni mtanzania kweli, nia yako nini na unataka nini? Rais magufuri ni mjori wa Mungu anaombewa na watu asubuhi mchana na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.